Nilisoma sana hiyo philosophy ya communism kwa kina sana wakati wa DS100 tukiianzia kwenye kilichoitwa Hegelian Philosophy na kumalizia na kile kilichotitwa the Crisis of Capitalism.
Kwa maneno, ni kweli Communism ilikuwa inonekana kuwa ni utaratibu mzuri sana na wenye malengo mema kwa watu wote, lakini nadhani kuwa ilikuwa short sighted sana kwa kusahahu laws of nature hasa Survival of the Fittest na The Pyramid of the Human Needs; kwani mfumo huo ulikuwa unaondoa kabisa zile checks and balances zinazotakiwa ili kuneutralize negative effects za hizo laws of nature. Nchi zote zilizofuata Ukomunist kama ulivyohubiriwa na Karl Max, pamoja na rafiki zake Friedrich Engels, na Vladmir Lennin zilishindwa kuendelea hadi pale walipoamua kuingiza capitalism kwa kiasi fulani.
On the other side, nchi zenye mchanganyiko wa mfumo wa ukomunist na mfumo wa ubepari zimekuwa zinafanya vizuri zaidi ya zile za ubepari pure.
Katika maandiko ya Marx, nadhani niliipenda sana ile phrase ya "Dictatorship of the Proletariat"
Shukrani sana, kweli JF ni kisima cha kujifunza