Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga, Mti Mkavu (1940-2011)

Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi~AMEN...na pia awape nguvu na faraja wafiwa katika kipindi hiki kigumu kwao.
 
At one time General Mayunga was Regional Party Secretary for Kilimanjaro Region. Indeed it was during his reign when the CCM regional Party office building was built in Moshi and it was then and I believe, it is still regarded as the best regional party building in Tanzania. He was certainly a one of the best field commanders of the JWTZ having initially commanded the western front of the Uganda war capturing Fort Portal etc with two combat brigades while General Musuguri commanded tghe eastern front.
 
pumzika kwa amani kamanda, ile vita haipo tena tanzania, wafisadi ndio vita mpya
 
What a sad day indeed, Mungu ailaze roho ya marehemu pema peponi, na aipe faraja familia yake, jamaa na marafiki na taifa letu kwa msiba huu wa jemedari Mayunga.
 
May his soul Rest in Peace,.. a true hero and a proud son of our country...
 
..RIP Lt.Gen.Silas Mayunga "kamanda mti mkavu."

..inasikitisha kwamba makamanda walioongoza vita vya Kagera wengi wameaga dunia.

..ambao wamefariki ni hawa: Brig.Ahmed Kitete, Brig.Yussuf Himidi, Maj.Gen John Walden "black mamba", Maj.Gen.Marco Mwita Marwa, Maj.Gen.James Luhanga, na Lt.Gen.Imran Kombe.
 
..RIP Lt.Gen.Silas Mayunga "kamanda mti mkavu."

..inasikitisha kwamba makamanda walioongoza vita vya Kagera wengi wameaga dunia.

..ambao wamefariki ni hawa: Brig.Ahmed Kitete, Brig.Yussuf Himidi, Maj.Gen John Walden "black mamba", Maj.Gen.Marco Mwita Marwa, Maj.Gen.James Luhanga, na Lt.Gen.Imran Kombe.

Ongezea jenerali Abdalla Twalipo
 
Sober,

..asante.

..kweli kati ya hao nilimsahau Mkuu wa Majeshi, Mtanzani wa Kwanza kufikia ngazi ya Jeneral, Gen. Abdala Twalipo "kamanda chakaza."

..Twalipo alikuwa Mkuu wa Majeshi akiwa na cheo cha Major General na baadaye Lt.Gen. wakati Mwalimu anajiuzulu alipewa nishati ya utumishi uliotukuka na hapo hapo akapandiswa cheo kuwa General. From then on all CDFs held the rank of General.

NB:

..makamanda wengine wa vita vya Kagera ni General.David Musuguri, General.Tumainieli Kiwelu,Lt.Gen.Martin Mwakalindile,Maj.Gen.Rowland Makunda,Maj.General.Herman Lupogo, Maj.General.Muhidin Kimario, na Brig.Ramadhan Haji Faki.
 
Nafikiri Mayunga na Kiwelu walipandishwa na kuwa Four Star Generals (correct me if i'm wrong).................dah...... RIP Gen Mayunga
 
RIP Mayunga,

poleni watanzania wote kwa kuondokewa na shujaa wa ukweli wa nchi yetu, aliyeulinda uhuru wetu kwa vitendo pale nduli amini alipotaka kutupokonya. kazi yako ilikuwa njema na nakuombea pumziko la amani lenye rehema juu ya rehema

Jina la Bwana libarikiwe!
 
<br />
<br />
Poleni wafiwa
Tujulishane msiba upo wapi/nyumbani kwake wapi?
Ilala Amana Alihahamishiwa Kwa Muda Ili Nyumba Yake Ijengwe Baada ya Kuungua kwa Moto kama miaka miwili iliyopitana Serikali lakini Hadi Leo Hii Haijajengwa Sijui Itakuwaje Familia yake nahofu wanaweza sumbuliwa au wakajahamishiwa kule kunako kibao Karibu Dar Es Salaam.

Hii Ndio Tanzania Usiyoijua.
 
Back
Top Bottom