Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
alikuwa mwanajeshi mzuri lakini diplomasia ilimshinda, wakati yupo Nigeria alikuwa mkorofi huyu
all in all keshatangulia mbele ya haki na si vyema kuanza kumkandia now
tusubiri 40 ipite ndio taunze na legacy yake maana sie watanzania ni watu wa MUHALI sasa utakuja ambiwa ohh unachafua hali kwa kuwa na mawazo tofauti
all in all keshatangulia mbele ya haki na si vyema kuanza kumkandia now
tusubiri 40 ipite ndio taunze na legacy yake maana sie watanzania ni watu wa MUHALI sasa utakuja ambiwa ohh unachafua hali kwa kuwa na mawazo tofauti