WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Ukiachilia mbali historia ya kabla ya uhuru ( utawala wa machifu, biashara ya utumwa, ukoloni na process zake kama kuja kwa wamisionari na wavumbuzi, vita mbalimbali kama majimaji na mapambano dhidi ya wakoloni) historia ya kujitafutia uhuru na harakati za watu mbalimbali kama Nyerere na wengineo, tukaja kwenye uhuru na kujitawala, ninatatizika sana kupata picha kamili ya contemporary history ya Tanzania.
Naombeni ushauri na darasa katika yafuatayo:
1. Nini sources nzuri za contemporary history ya Tanzania hasa kuanzia 1970s mpaka leo?
2. Kama mtu angetaka kuandika historia kwa kuangalia michango ya watu mbalimbali, ni watu gani ambao tunaweza kuwaandika na kwa michango gani?
3. Wanawake gani Tanzania wanaweza kuwa in the limelight as having contributed in shaping the history of Tanzania?
Nitashukuru kupata majina ya watu kwa mambo yao mema na hata yale ambayo siyo mema sana.
Natanguliza shukrani za awali za dhati kabisa kutoka moyoni kwa michango yenu iliyojaa hekima na busara, isiyokuwa na kejeli wala utani usiokuwa na tija.
VC
Naombeni ushauri na darasa katika yafuatayo:
1. Nini sources nzuri za contemporary history ya Tanzania hasa kuanzia 1970s mpaka leo?
2. Kama mtu angetaka kuandika historia kwa kuangalia michango ya watu mbalimbali, ni watu gani ambao tunaweza kuwaandika na kwa michango gani?
3. Wanawake gani Tanzania wanaweza kuwa in the limelight as having contributed in shaping the history of Tanzania?
Nitashukuru kupata majina ya watu kwa mambo yao mema na hata yale ambayo siyo mema sana.
Natanguliza shukrani za awali za dhati kabisa kutoka moyoni kwa michango yenu iliyojaa hekima na busara, isiyokuwa na kejeli wala utani usiokuwa na tija.
VC