Tulishayafehemu haya
wacha waendelee na madudu maana naamini kashfa walizozifanya hazikuwatosha na sasa wanajiandaa na big fall.
Mungu awarehemu
ok,mi ndio nilikuwa napenda iwe hivyo na mahasira yake ya maamuzi yasiyo na logic atakutana na damu changa kama G.LEMA,MNYIKA,na mzee wa kazi AIKAELI MWANA WA MBOWE,duh kazi anayooooooooooooooooo
Unaweza kutujuza ni kura 200 kati ya ngapi ili tuweze kujua zipi zinaweza kuja upande wetu
''Sasa umejua mimi ni nani...shuwaini''
Wewe mwongo kwenye CC wajumbe wako 30 tu wewe hao 250 umewato awapi?
Shame on you!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Anna Makinda amechaguliwa kwa Kura 221
Anna Abdala 14
Kate Kamba 15
Wewe mwongo kwenye CC wajumbe wako 30 tu wewe hao 250 umewato awapi?
Shame on you!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Wewe mwongo kwenye CC wajumbe wako 30 tu wewe hao 250 umewato awapi?
Shame on you!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Aaah, basi tena, Moshi mweusi huuoooo kwa Marando
Keshohivi wanampigia kura spika lini ??
Huyu mama ni balaa tena ni fisadi sana kachukua ardhi ya wagogo wa watu kule matongolo Wilaya ya Kongwa ana heka karibuni 1000 kajenga maghala ya kuhifadhia mahindi wagogo wanaangalia tu halafu wanalalamika baadae HAFAI HATA KIDOGO
Mafisadi wanapomlinda mtu wao!!!nani asiyejua Makinda alikopeshwa sh1 Bilioni na Karamagi na ameshindwa kulipa? Karamagi,Chenge,Rostam na baba yao Kikwete lao moja