kanyagio
JF-Expert Member
- Dec 10, 2009
- 1,021
- 365
hongera mama. hongera tena hhongera
malaria Sugu, mbona sikukusikia ukisema neno pale PCCB walipochakachua kuhusu Chenge?
hongera mama. hongera tena hhongera
Huyo mama anajua sana kususa na kutaka kujiuzulu ......ngoja akibanwa utamuona anavyo panic...Bunge litakuwa la kusuasua kila mara.....hana confo kabisaaaKwani ni issue ubabe wake, atakamatwa na kanuni za bunge kama walivyokamatwa na sheria za uchaguzi:hippie:
huyu mama ni dikteta sana na atashindwa.
Anna Makinda amechaguliwa kwa Kura 221
Anna Abdala 14
Kate Kamba 15
Taarifa kutoka tbc inasema ameshinda kwa kura 200+ kuwania uspika wa bunge akifuatiwa na KATE KAMBA
Taarifa kutoka tbc inasema ameshinda kwa kura 200+ kuwania uspika wa bunge akifuatiwa na KATE KAMBA