sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Rudi kwenye mada....hivi wewe siku hizi ni tapeli tapeli sio?
Rudi kwenye mada....hivi wewe siku hizi ni tapeli tapeli sio?
Mie nilishajiambia
Nina maamuzi ya mwisho na masiha yangu
As long as am comfortable, nafanya nitakacho, wakati wowote, kwa staili yeyote
Watu wanajidai weeeema, lakini wana maasi gizani ambayo hata sheitwani huwa anashangaa
Akikubali hela napokea mimi.Thank you, thank you na naomba ruksa kuitumia kama sahihi sentensi ya rangi ya blue
Hisia...Ameuliza vizuri kwamba kuna Members wanaolipwa kwa kupost thread? are u serious!! angeuliza kwamba kwa sababu mleta thread ni Premium Member je anaichangia JF pesa kiasi gani kwa mwaka? hili lina logic.
Hivi kwa fikra finyu kama hizi Mtu unaweza kuwa miongoni mwa Great thinker? kweli nimeamini kichuguu ndio nyumba pekee ambamo nguchiro na nyoka wanaishi pamoja.
John Cena ana karibia kushindwa kuitetea slogan yake.
Maana Kane ana mpelekesha kweli ili aingie kwenye kisima cha chuki.
Thank you, thank you na naomba ruksa kuitumia kama sahihi sentensi ya rangi ya blue
Nilipo fika hapo nikahisi una nidongoa mimi,...huh.
Honestly,....ni rahisi sana kumjua mtu kama kakasirika au vipi
kama mnaongea face to face.
Body language haijui kuficha feelings za moyo wako,..unless umesomea
kuficha what you feel....(haya yako jeshini zaidi,...tena sio kila mwanajeshi).
Lakini otherwise,kama mko pamoja na mtu akakwambia ume kasirika,hata kama huja kasirika then
lazima una tatizo ambalo lime jionesha kwa lugha ya mwili wako.
Pole GeeCee. . . inabidi umpe mhusika somo aisee.
Mazee wewe hujui kama kuna wehu wa aina nyingi wengine wanakukasirikia na hawakujui hahaha.mhh afadhali mtu azungumze hisia zako kama mnafahamiana physically na mko mnaona na wakati huo
inafurahisha mtu anapojifanya anakuju kwa post tu za hapa jf.....
eti mbona umekasirika hivyo? lol
au fulani mbona unamfuata fuata kwenye post zake?
mna nini kati yenu?
watu kwa hisia lol
Za kijinga.....Hisia...
Hizi ndio Hisia za kijinga zinazoongelewa kwenye thread hii, The Boss ameelezea vizuri usijifanye unamjuwa sana mtu kwa post zake za JF. KAMA KAZI YAKO NI KUBEBA ZEGE usitake wote tuwe hivyo.
Mimi nafanya kazi mara 2 tu kwa mwaka na ninaingiza kipato cha ku cover life expenses zangu kwa miaka 2.
.Usitake kuharibu thread ya watu, kama ni matusi mimi nina software ya matusi hujalazimishwa kuchangia thread hii heshima ni kitu cha bure, hizi ndio Hisia za kijinga kujifanya mnajuwa watu humu wakati ni mafala tu.
Watu wanajidai weeeema, lakini wana maasi gizani ambayo hata sheitwani huwa anashangaa