Hisia. . .

mhh afadhali mtu azungumze hisia zako kama mnafahamiana physically na mko mnaona na wakati huo

inafurahisha mtu anapojifanya anakuju kwa post tu za hapa jf.....

eti mbona umekasirika hivyo? lol

au fulani mbona unamfuata fuata kwenye post zake?

mna nini kati yenu?

watu kwa hisia lol

Mi hizi za humu wala hata hua sihangaiki nazo tena Boss japo mwanzoni nilikua nauliza kulikoni. . .siku hizi nabaki kishangaa tu.

Huku uraiani sasa. Utasikia "mbona huongei na mimi, nimekukosea?" Hapo mhusika akijibu hapana ndio mwanzo wa "LAZIMA, mbona sasa huongei na mimi, au mbona sasa umepooza kama sio mimi?!" Ina maana mtu hawezi kuwa na matatizo mengine?
 
Ameuliza vizuri kwamba kuna Members wanaolipwa kwa kupost thread? are u serious!! angeuliza kwamba kwa sababu mleta thread ni Premium Member je anaichangia JF pesa kiasi gani kwa mwaka? hili lina logic.
Hivi kwa fikra finyu kama hizi Mtu unaweza kuwa miongoni mwa Great thinker? kweli nimeamini kichuguu ndio nyumba pekee ambamo nguchiro na nyoka wanaishi pamoja.

Hey there Mr Valentine. . .mambo mengine kujibu ni sawa na kupoteza muda wakati mambo ya maana yapo. POTEZEA!!
 
Lizzy hii kitu ipo sana ajabu zaidi ni pale hisia za wengi zinapoamua kuwa negative zaidi kuliko positive!

Kweli WL. . .
Hua inashangaza namna watu wanavyopenda/jua kung'ang'ania "NAJUA ,NAJUA" kuhusu hisia hasi za mhusika kuliko mhusika mwenyewe. . .alafu zile ambazo ni chanya hata mtu aimbe wiki nzima mtu anakataa kwamba sio kweli. . .kama ni kupendwa hapendwi. . ila kuchukiwa anachukiwa bila kuambiwa au hata kuonyeshwa.
 
Nadhani hisia huanzia hapa

"kimtokacho mtu kinywani ndicho kiijazacho nafsi yake"

Unaposema neno au kupost kitu, ninakibeba na kutafsiri kwa mtazamo wangu
Then nakimbilia ku-conclude, lakini inawezekana kabisa mwandishi au msemaji aliyesema neno lile ana mtizamo au matumizi yake ya maneno yale ni tofauti kabisa na yangu.

Zaidi naona ni ku-personalize maneno ya mtu mwingine na kujifanya yako

Basi mbona watu wanaposema "NAKUPENDA" hua haichukuliwi kama alivyosema kwa wengi, na watu hao hao hung'ang'ania zile ambazo ni hasi (UNANICHUKIA, UMENIKASIRIKIA) hata mhusika akatae?
 
Mkuu mimi hapa napata hisia kwamba umekasirika kutokana reaction yako. au nalo hili hisia zimenidanganya?

mimi bado ninaamini kuuliza sio ujinga na aliulizalo mtu maana yake anahitaji kujua.

sasa kama mtu atakuja humu na kuuliza kisha kumshambulia kwa maneno, its not fair. watu wataogopa kuuliza

na pia hapa nawezasema unajaribu kuingilia hisia za mtu, kwa kufikiri anajok.

watu tumetofautiana uelewa bana. mimi naweza nisielewe hata jinsi ya kupost but nikiuliza sio kwamba natania.
 
Am just having my fresh mango juice & waiting for my lunch, am out of this.

Good to hear that. .
Haya changia basi mada kabla na mimi sijakung'ang'ania kua huna furaha na mimi siku ya Valentine kumbe jirani yako aliacha mmbwa wake ale vifaranga vyako jana yake.
 
Mkuu mimi hapa napata hisia kwamba umekasirika kutokana reaction yako. au nalo hili hisia zimenidanganya?
Nikikasilika huwa nina smilling face na huwa siwezi kupigiwa ramli, inshort siwezi kukikasilikia kivuli mtu ambaye simju na wala hanijui inawezekana vipi nimkasirikie!!??
Kuna tofauti kubwa kati ya kukerwa na kukasirika. mimi nimekerwa.
 
mimi bado ninaamini kuuliza sio ujinga na aliulizalo mtu maana yake anahitaji kujua.

sasa kama mtu atakuja humu na kuuliza kisha kumshambulia kwa maneno, its not fair. watu wataogopa kuuliza

na pia hapa nawezasema unajaribu kuingilia hisia za mtu, kwa kufikiri anajok.

watu tumetofautiana uelewa bana. mimi naweza nisielewe hata jinsi ya kupost but nikiuliza sio kwamba natania.

Tufanye hakuna aliyeshinda wala aliyeshindwa hoja, turudi kwenye topic:focus::focus::focus::focus::focus::focus:
 
Anakuwa anajua alichikufanyia
Anajaribu kutafuta kama unakijua

Mfano labda mie nimekuponda kwa mtu
Wakati mie huwa naongea na wewe
Afu ghafla wewe unapunguza mazoea na mimi
Lazima nijipendekeze kuuliza kulikoni
ili nijue kama umejua nlichofanya

Ukiwa too judgemental
Tatizo linakuwa liaanzia kwako

Basi mbona watu wanaposema "NAKUPENDA" hua haichukuliwi kama alivyosema kwa wengi, na watu hao hao hung'ang'ania zile ambazo ni hasi (UNANICHUKIA, UMENIKASIRIKIA) hata mhusika akatae?
 
Hivi wewe huwa una kazi?
Au hivi wewe unakula?
Au hivi wewe huwa unalala?

Mwaswali kama hayo hapo juu yana maana gani?
Definetly, kuna linalotafutwa zaidi ya kula kwalo na kulala kwako
Sababu kula na kulala ni oviaz kwa kila mtu

Hope utaona tofauti, nikikuboa potezea tu,
si unajua mie mashati ya shule hunipeleka high kinoma
mimi bado ninaamini kuuliza sio ujinga na aliulizalo mtu maana yake anahitaji kujua.

sasa kama mtu atakuja humu na kuuliza kisha kumshambulia kwa maneno, its not fair. watu wataogopa kuuliza

na pia hapa nawezasema unajaribu kuingilia hisia za mtu, kwa kufikiri anajok.

watu tumetofautiana uelewa bana. mimi naweza nisielewe hata jinsi ya kupost but nikiuliza sio kwamba natania.
 
mm nieleweshe.unapata wap mda wa kufanya mamb mengne au kuna watu wanalpwa kupost sred nying ww ukia ktk hilo kund?

user-offline.png
Golden Mpoleeee

Today 11:52
#3
JF Senior Expert Member Array


Join Date : 20th January 2012
Posts : 536

Rep Power : 410





Unajuwa inabidi nicheke tu sasa maana huyu member amejiunga tarehe 20 Janualy mpaka leo ana post 536!! sasa hapa na watu wakisema wakuulize spidi hii unaipataje sijui watakuwa sahihi!!??
 
Mimi nilikuwa mhusika/mhanga wa hiyo mada yako yote Lizzy.. Na hasa paragraph ya last but one...
Imefikia hatua nimekata tamaa na relationship kabisa!
 
Tumeshazoea kusikia watu wakiambiwa "Usiusemee moyo wa mwenzio" pale hisia za kimapenzi (kupenda) zinapokua zinahusika. Na hiyo kauli kama wengi tunavyojua hua inamaanisha kwamba hakuna anaeweza kujua nini mwingine anahisi ndani ya moyo wake kwa uhakika hata kama matendo yake hayatii shaka kuhusu hilo. Binafsi hua napenda kumwamini mtu mpaka atakaponipa sababu ya kutofanya hivyo, kwahiyo mtu akiniambia anahisi hivi au vile, ziwe hisia nzuri au mbaya ndizo ntazichukulia kama zilivyo.

Nwy leo nataka kuongelea zile ambazo ni hasi kidogo. Kwanini watu hua wanaona wana haki ya kumuamulia/kuona wana uhakika na kile mwingine anachohisi? Kwa mfano unaweza ukasema kitu cha kawaida tu. . .alafu mtu akadakia "mbona unajibu/ongea kwa hasira?"/ "una hasira wewe!!" na kukomalia hayo maneno hata pale mhusika anaposema sio? Au utasikia "fulani hata hakuumia mpenzi/ndugu yake alipofariki" kisa hakutoa machozi. Ina maana mtu hawezi kua hacheki cheki na bado asiwe na hasira? Mtu hawezi akaumia moyoni na bado mnaomuangalia msijue kisa hajatoa chozi? Chozi hili hili ambalo hata kwa vitunguu linatoka? Mtu hawezi akawa kimya labda kwaajili ya mawazo binafsi bila ya kuhisiwa kakasirika ama kaboreka? Mtu hawezi akawa na matatizo binafsi bila ya wewe kulazimisha kwamba ndie mkasirikiwa/mhusika?

Naamini UELEWA ni silaha kubwa sana, yani inaweza ikakulinda na aibu/hasira na hasara wakati wowote ule. .na KUTOKUA muelewa ni hasara inayoweza ikakufanya hata uonekane mjinga wakati mwingine.

Binafsi hua naboreka sana pale mtu anaponilazimishia hisia ambayo sinayo kwa wakati ule. . .hata kama nilikua napanga kumwambia kitu ntaahirisha kama sio kuacha kabisa.

Unapoona mtu yupo tofauti na ambavyo ungependa/ulitarajia uliza kulikoni badala ya kuassume na kulazimisha jibu liwe lile ulilomwandalia. Epuka kulazimisha kua wewe ndio tatizo, maana usipoacha kulazimisha UTAKUA tatizo kwa kukosa uelewa. Penda kuuliza badala ya kuassume. . .

Nilipo fika hapo nikahisi una nidongoa mimi,...huh.
Honestly,....ni rahisi sana kumjua mtu kama kakasirika au vipi
kama mnaongea face to face.

Body language haijui kuficha feelings za moyo wako,..unless umesomea
kuficha what you feel....(haya yako jeshini zaidi,...tena sio kila mwanajeshi).

Lakini otherwise,kama mko pamoja na mtu akakwambia ume kasirika,hata kama huja kasirika then
lazima una tatizo ambalo lime jionesha kwa lugha ya mwili wako.
 
Hizi ndio Hisia za kijinga zinazoongelewa kwenye thread hii, The Boss ameelezea vizuri usijifanye unamjuwa sana mtu kwa post zake za JF. KAMA KAZI YAKO NI KUBEBA ZEGE usitake wote tuwe hivyo.
Mimi nafanya kazi mara 2 tu kwa mwaka na ninaingiza kipato cha ku cover life expenses zangu kwa miaka 2.

Wengine mfano Engineering... Ukimaliza kusoma ni kama workload imepungua...
Na ukafungua kampuni ndogo tu ukafanya kazi kwa kutafuta tenda ukapata,ukafuatilia material,ukahakikisha kuna supervision ya kutosha.. Kazi ya Mil. 80 unabaki na kama 35 Mil. Kama kampuni ni ya watu watano full time unawalipa mshahara hata miezi 6..
Na wewe ukiwa comfortable unatafuta tenda,na kwa kujuana zingine zinakuja tu.. Zingine unampa mtu anatumia kampuni yako anakupa comission,au malipo yanapita kwenye ACC ya kampuni yako ambako ina signatories A na B... Yaani hela zinaweza kuwa za kutosha tu na mtu akashangaa huyu mtu anaishije...

Anyways...ni mtazamo tu..
 
Back
Top Bottom