Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,858
- 31,887
Za Asubuhi mama, kuna mpya gani humu mida hii...
Unaniita mama nimekuzalia Mkweo?
Jibu swali fasta.
Za Asubuhi mama, kuna mpya gani humu mida hii...
St. Paka njoo mhisi dada
Naogopa,aliniambia nikimuhisi atanimeza......:baby:
naisi ww ni mrembo sana na unajipenda sana na pia unapenda utani sana ila sio wakupitiliza
Naomba na mimi unihisi....
Unasoma chuo hapa jijini,unaishi cnza,maji ya kunde unapenda kuckiliza taarabu mtu wa vigodoro, mmmmhhhhh sio mnene sana umejazia nyuma unarizisha mtu mwenye hasira sana,...una vigimbi hata ukiwa mwana riadha usain bolt hakukamati...............bhaaaaaaassssssss
Its ney once again
Hahhahahaaa dada hawezi meza mutu hapa we mhisi banaNaogopa,aliniambia nikimuhisi atanimeza......:baby:
naisi ww ni mrembo sana na unajipenda sana na pia unapenda utani sana ila sio wakupitiliza
Kinywaji si nilikwisha kuagizia!
Mwite mangi umuodeshe nyama tafadhali , sijui kwa Babu kama nyama siyo ya nadra , maana idadi yenu kama mnajaza Hiace hivi!
Unaniita mama nimekuzalia Mkweo?
Jibu swali fasta.
Hahaahaha slim meee hehehe mmmmh hayaMe nahisi mdogo mdogo flani hivi. Si mweupe wala si mweusi.
Hahaahaha slim meee hehehe mmmmh haya
Hahahhaahaha hunie si uchukue ile noah kama hais hawatoshiii
Unapajua pccb weye sasa endelea utakiona cha mtema kuuuniYani bado hakuna aliyopata! Hivi kutoa rushwa ina ruhusiwa?
Tanx hubyHapana wengine Noah , haramu! So far Hiace inabaki kua unisex
HihihiNahisi ni kakijeba flani hivi ka kike, kameota vigimbi miguuni...
Photocopy wa bi kiroboto!