JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 6,831
- 14,189
Juzi nilibahatika kusikiliza radio moja ya kidini, Radio Imaani, watangazaji waliokuwa studio, walinukuu gazeti moja li kiislam, likihoji suala la DOWANS ni mmliki au kanzu yake.
Kwa mujibu wa gazeti hilo, ni kwmba hakuna tatizo lolote liloletwa na DOWANS, tatizo lililopo ni kwamba mfumo wa serikali yetu ambao ni wa kikristu ndilo tatizo, watangazaji hao wanadai kwamba mfumo huu hauwapendi waislam, unawashambulia popote walipo na kuharibu sifa yao nzuri.
Wanadai kwamba DOWANS inashambuliwa na kusakamwa kwa sababu mmiliki wake ni wa imani ya kiislam.
Suala lingine lililonishangaza, watangazaji hao wanaamini kwamba kinachoendelea katika nchi za kiarabu, ni conspiracy ya nchi za magharibi ambazo zimepania kuuangamiza uislam popote duniani.
Hivi jamani kinacho endelea kwenye nchi hicho hizo mbona kipo wazi, vyanzo vinafahamika?
Kama kuna nguvu tofauti nyuma ya yote hayo tufahamishane wakuu,
Kwa mujibu wa gazeti hilo, ni kwmba hakuna tatizo lolote liloletwa na DOWANS, tatizo lililopo ni kwamba mfumo wa serikali yetu ambao ni wa kikristu ndilo tatizo, watangazaji hao wanadai kwamba mfumo huu hauwapendi waislam, unawashambulia popote walipo na kuharibu sifa yao nzuri.
Wanadai kwamba DOWANS inashambuliwa na kusakamwa kwa sababu mmiliki wake ni wa imani ya kiislam.
Suala lingine lililonishangaza, watangazaji hao wanaamini kwamba kinachoendelea katika nchi za kiarabu, ni conspiracy ya nchi za magharibi ambazo zimepania kuuangamiza uislam popote duniani.
Hivi jamani kinacho endelea kwenye nchi hicho hizo mbona kipo wazi, vyanzo vinafahamika?
Kama kuna nguvu tofauti nyuma ya yote hayo tufahamishane wakuu,