painful truth....LEO NILIINGIA DARASANI NIKAANDIKA UBAONI KAMA IFUATAVYO:
(1) 9+1=70
(2) 9+2=11
(3) 9+3=12
(4) 9+4=13
(5) 9+5=14
(6) 9+6=15
(7) 9+7=16
(8) 9+8=17
(9) 9+9=18
(10) 9+10=19
Nilipo maliza kuandika tu, nikaona wanafunzi wote walikua wanacheka, kwasababu nilikua nimekosea swali la kwanza.
Nikawatazama wanafunzi, kisha akawaambia yafuatayo:
*Nimejikosesha lile swali la kwanza makusudi, kwasababu nilihitaji mjifunze kitu kimoja muhimu sana.Mnapaswa kujua namna ambavyo dunia inaweza kuwachukulia. Unaona hapo, nimeandika kwa usahihi maswali tisa (9), lakini hakuna kati yenu aliyenipongeza kwa hilo; wote mmecheka na kunilaumu kwasababu ya kosa moja tu nililofanya."
HIVYO, HILO NI SOMO KWENU:
Dunia haijali mazuri unayofanya hata ukiyafanya mara milioni, lakini fanya baya moja uone jinsi watakavyo kulaumu.
Hata hivyo usikate tamaa, MARA ZOTE SIMAMA IMARA NA USHINDE VIKWAZO VYOTE.
LEO NILIINGIA DARASANI NIKAANDIKA UBAONI KAMA IFUATAVYO:
(1) 9+1=70
(2) 9+2=11
(3) 9+3=12
(4) 9+4=13
(5) 9+5=14
(6) 9+6=15
(7) 9+7=16
(8) 9+8=17
(9) 9+9=18
(10) 9+10=19
Nilipo maliza kuandika tu, nikaona wanafunzi wote walikua wanacheka, kwasababu nilikua nimekosea swali la kwanza.
Nikawatazama wanafunzi, kisha akawaambia yafuatayo:
*Nimejikosesha lile swali la kwanza makusudi, kwasababu nilihitaji mjifunze kitu kimoja muhimu sana.Mnapaswa kujua namna ambavyo dunia inaweza kuwachukulia. Unaona hapo, nimeandika kwa usahihi maswali tisa (9), lakini hakuna kati yenu aliyenipongeza kwa hilo; wote mmecheka na kunilaumu kwasababu ya kosa moja tu nililofanya."
HIVYO, HILO NI SOMO KWENU:
uko sawa mkuu yaani binadamu hata umtendee mema kiasi gani ipo cku atakunyea tu
Dunia haijali mazuri unayofanya hata ukiyafanya mara milioni, lakini fanya baya moja uone jinsi watakavyo kulaumu.
Hata hivyo usikate tamaa, MARA ZOTE SIMAMA IMARA NA USHINDE VIKWAZO VYOTE.
ndo maana hadi leo huijui mkuu ...et..?yan first principle nilikua siipendi bac tu.....
ushanpoteza mkuu...