Zakumi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2008
- 5,063
- 2,471
Penye nia, pana njia.
Wewe hutakiwi ukate tamaa mara moja hivyo. Hata hapa tulipo wengi wetu hatuielewi vyema lugha yetu. Kwa nini basi usitumie ukumbi huu kutushushia darsa kama ulivyotaka kufanya kwenye hiyo website yenu?
Naamini, kazi yako ikionekana, washirika wenye nia ya dhati watajitokeza
Nilichotaka kufanya ni kile waChina, Wajapan walichofanya. Kutafsiri vitabu muhimu katika lugha zao hili kila mtu apitie. Kwa sasa hivi uzee umeingia na sina muda wa kutosha. Hivyo ninawaachia kizazi kipya cha bongo flava kuendeleza.