Iron Lady
JF-Expert Member
- Mar 4, 2008
- 4,071
- 1,363
sasa consider application ya hisabati na critical thinking kwenye maisha yetu ya kila, ni kipi kinapewa kipaumbele huwezi kukuta ni hesabu.
bado nasisitiza ni kutokujua ndio kunasababisha hatuipi kipaumbele falsafa katika maisha yetu ya kila siku. angalia mfn ufuatao,
matatizo ya kijamii - yanapelekea critical thinking - inapelekea application of different solns mojawapo ni hesabu halafu suluhu ya matatizo.
hapa unafikiri kipi ni muhimu kusisitizwa kufundishwa, critical thinking ndyo inayoleta hesabu kutumika if necessary.
haya ni mawazo yangu.