Nivea
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 7,459
- 4,748
Naamini ushauri wenu kwa asilimia 100%maana ulishanisaidia several times, nina mdogo wangu wa kike ana miaka 22 ,anasumbuliwa na tatizo ambalo kwa kweli tumemtibu na tumeshindwa kuelewa ninini hasa
akiwa kwenye mkusanyiko wa watu kwenye daladala sokoni stendi huwaanaishiwa nguvu nakuanguka na kupoteza hata fahamu.
Huwa inaanza na kichwa kuuma sana then hiyo hali inatokea,akiwa katika hiyo hali kichwa huuma sana,jasho jingi,macho pia anakuwa haonikabisa,na hii hitokea within 5min na anakuwa mzima kabisa anaendelea na safari mimi nilishuhudia siku moja nilienda nae sokoni kule karume then alianza kusema anajisikia vibaya tukasimama alilegea akaanguka niwale wauza viatu waliniaidia.
Imekuwa tena jana alianguak huko mwanza sokoni bahatai nzuri alikuwa na rafiki yake,hawezi kutembea mwenyewe kwani anaogopa sana.
tulimeleka hospitaliakapata vipimo
1.moyo
2.pressure
3.wingi wa damu
4.macho ni mgonjwa na anatumia miwani
Vipimo vyote ni null
NAOMBA USHAURI WENU JAMANI TATIZO HILO LINAMTESA SANA,NISAIDIENI HATA KUULIZA WATU WENGIME MNIPE USHAURI AFANYAJE
mkuu hippocratessocrates MziziMkavu na wengine wote nawategemea sana
akiwa kwenye mkusanyiko wa watu kwenye daladala sokoni stendi huwaanaishiwa nguvu nakuanguka na kupoteza hata fahamu.
Huwa inaanza na kichwa kuuma sana then hiyo hali inatokea,akiwa katika hiyo hali kichwa huuma sana,jasho jingi,macho pia anakuwa haonikabisa,na hii hitokea within 5min na anakuwa mzima kabisa anaendelea na safari mimi nilishuhudia siku moja nilienda nae sokoni kule karume then alianza kusema anajisikia vibaya tukasimama alilegea akaanguka niwale wauza viatu waliniaidia.
Imekuwa tena jana alianguak huko mwanza sokoni bahatai nzuri alikuwa na rafiki yake,hawezi kutembea mwenyewe kwani anaogopa sana.
tulimeleka hospitaliakapata vipimo
1.moyo
2.pressure
3.wingi wa damu
4.macho ni mgonjwa na anatumia miwani
Vipimo vyote ni null
NAOMBA USHAURI WENU JAMANI TATIZO HILO LINAMTESA SANA,NISAIDIENI HATA KUULIZA WATU WENGIME MNIPE USHAURI AFANYAJE
mkuu hippocratessocrates MziziMkavu na wengine wote nawategemea sana
Last edited by a moderator: