Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 4,820
- 8,886
Masanja,
..angetembelea Rwanda definetely ungekuja na reaction tofauti.
..kilimo chetu hakiwezi kuendelea kwa ziara moja ya Mama Clinton.
..lakini hii ziara tells us something about kilimo na biashara ya hawa ndugu zetu Wakenya.
..tena usije ukashangaa moja kati ya bidhaa ambazo wenzetu wanauza Marekani kupitia AGOA ni Tanzanite yetu. yaani they are making more profit out of it kuliko Watanzania.
..kwamba waziri wa mambo ya Nje wa USA anatembelea Kenya na theme ya ziara yake siyo Al-Qaeda pamoja na kwamba Kenya wameshambuliwa mara mbili, au Somalia pamoja na kwamba wamepakana nayo, bali anakwenda kujadili KILIMO na BIASHARA ni suala la kuwapongeza watani wetu wa jadi.
NB:
..Obama amekwenda Ghana ku-acknowledge jinsi walivyoendesha uchaguzi wao kwa ustaarabu wa hali ya juu.
..sasa mnapowabeza Waghana mna uhakika kwamba demokrasia Tanzania iko matured kuliko ya Ghana?
Mkuu you can spin it the way you want. Tulishakubaliana kutokubaliana. Ndo maana watu kama akina Kagame wanapambana na huu mtindo wa kutembeza bakuli. I wonder whether watani wa jadi "walilalamika" Bush alivyokuja TZ akakaa four days na hakupita kwao!
I will always give credibility where it is due. Kama mtu anafanya juhudi kuwakomboa watu wake..I cant cling to the past and these stupid CNN and BBC telling me what I already know. Naona Clinton tunampa image kubwa ambayo hana in actual sense. Hizi bla bla za delegation sijui what not what..to say the least I dont subscribe to them. Do you think angekuja bongo...kingebadilika nini?
Kweli now I know..kwa nini sisi na wakenya tunaitana watani wa jadi!
Iam sorry to say..lakini mimi sioni umuhimu mkubwa sana wa Hillary kuja Tanzania. Viongozi wangapi tena wa mataifa makubwa wamekuja bongo? and what did we get?
Juzi tuli-host mkutano wa Sullivan-meeting of all meetings-am told..I dont know where we stand (by the way Jokaa Kuu..Rwanda ambao ndo ingebidi wauhost huo mkutano mwaka huu..wamechomoa kwamba ni gharama kubwa for no good reason!)
Wakuu hebu tuwe makini na tufikirie mara mbili mbili...Yaani leo..kweli taifa la vichwa million 40..bado tunasikitika kutotembelewa na Foreign minister hata angekuwa wa sayari ya Jupiter? Hivi niulize..Hillary akikutana na Kibaki ataongea naye dakika ngapi? and do you really believe that investors watakuja Kenya simply because mama Clinton kapita na delegation yake? Aliyekuwa na mpango wa kuja atakuja ambaye alikuwa hana mpango..ndo hivyo..ataenda kwingine..tuache hizi siasa za kutojiamini!
By the way..priority kubwa ya mama Clinton ni SOMALIA..Infact atakutana na raisi wa Transitional government Nairobi..na kama umeangalia US..wamedhamiria kuwasaidia hii serikali and how can you do it without Kenya in the equation?
Achana na mmarekani bwana..he knows what he wants and how to get it....Ni sisi tuu..memory span yetu ni fupi..hatuangalii mbali.
Otherwise Jokaa kuu naheshimu mijadala yako sana..ndo maana nimesikitika kuona huu mtundiko umewekwa na wewe...