m_kishuri
JF-Expert Member
- Jan 27, 2010
- 1,484
- 372
Mkuuu taratibu kaka, tusipende kulivunjia hadhi hili jukwaa.Kweli wizi ni wizi tu aijalishi unamwibia nani,tulizani hali hii inawatokea abiria wa kawaida tu sekeseke limezuka uko airport
begi ya mh clinton mrs imekutwa imefunguliwa na simu mbili azionekani watu waliokuwepo woote wametangaziwa kuandika report anyway siwezi toa comments ila kwa mimi ningeanza na usalama kwanza...hawa wangejua wapi zilipo maana wakipokea mizigo hawa jamaa wanaangalia mpaka inapoingia kwenye gari zao..anyway tuwaachie wenye
mkweli atajulikana tukumbukane hata usalama nao ni binadamu na wana hamu na wanatamani...