Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
B'REAL ,
Niruhusu kidogo niweke sawa hii maneno.
Ni kwamba haiwezekani Binadamu (Mwanaume) afe uume umelala na baadae uje usimike, katika mazingira yeyote yale haiwezekani 100% .
Kinachowezekana ni mtu kusimika katika nyakati zile za kukata roho (sakaratu)
So many cases za wanaume kufa wamesimamisha zipo.
Hata katika familia yangu mimi a such case imeshatokea , na solution yake uume husika haulali hadi pafanyike any alternative to allow dischurge of sparm , hutumika njia ya kuchuliwa mara nyingi na mbegu hutoka.
Baadhi ya watu hua nasikia wanasema (Japo mimi sijawahi ona) Kwamba ikiwa marehemu husika kaacha mke,
basi atawajibika ku'penetrate kwake (but not a real game) hadi manii yatoke.
Na endapo maiti husika haijakaa kwa muda mrefu mbegu hua valid , kitu ambacho fertilazation inaweza kuchukua nafasi yake,
kama ilivyotokea kwa huyo mama.
Niruhusu kidogo niweke sawa hii maneno.
Ni kwamba haiwezekani Binadamu (Mwanaume) afe uume umelala na baadae uje usimike, katika mazingira yeyote yale haiwezekani 100% .
Kinachowezekana ni mtu kusimika katika nyakati zile za kukata roho (sakaratu)
So many cases za wanaume kufa wamesimamisha zipo.
Hata katika familia yangu mimi a such case imeshatokea , na solution yake uume husika haulali hadi pafanyike any alternative to allow dischurge of sparm , hutumika njia ya kuchuliwa mara nyingi na mbegu hutoka.
Baadhi ya watu hua nasikia wanasema (Japo mimi sijawahi ona) Kwamba ikiwa marehemu husika kaacha mke,
basi atawajibika ku'penetrate kwake (but not a real game) hadi manii yatoke.
Na endapo maiti husika haijakaa kwa muda mrefu mbegu hua valid , kitu ambacho fertilazation inaweza kuchukua nafasi yake,
kama ilivyotokea kwa huyo mama.