Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,511
- 28,410
na weye si uanze kumuita kwa jina lake!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hongera mwaya!haya nimekusoma mamii!I think this is a genuine concern ya muuliza swali, na kwa maini yangu inafaa sana kuwemo humu na majibu anayoyapata ni mazuri. Lile ombi langu lengo lake ni kuwepo na kijijukwaa cha topics pasua kichwa zinazohitaji real thinking na ambazo hajitachakachiliwa.
Si umeona topics zinazofanywa kuwa mabandiko (sticky), tofauti na sasa ambapo bado naweza ingia na kuanza kuchakachua na kumention washikaji wanisaidie, basi hicho kijijukwaa hiyo access iwe limited!
Nafikiri umenipata. We are not of the same age n experience; so watoto walete tu maswali yao na yajibiwe ili wanuafaike na majibu, si kila mzazi yupo open kuomgelea maswala ya mapenzi na mahusiano.
My son will turn 12 next year, l hope akiingia humu apate elimu ya kujenga na si kupotosha! BTW, nippngezeni amemaliza elimu ya msingi jana! Hurrrey!