ni la kila mwaka vyuo kuongezeka matokeo yake mpaka mtu alikuwa na division 3 ya point 14 eti nayeye anapata chuo.wanasababisha population katika ajira pamoja na kushusha heshima ya degree
ni la kila mwaka vyuo kuongezeka matokeo yake mpaka mtu alikuwa na division 3 ya point 14 eti nayeye anapata chuo.wanasababisha population katika ajira pamoja na kushusha heshima ya degree
siku zote wajuzi wa mambo huwa haturopoki na kipimo cha mtu kuwa na elimu ni jinsi anavyokabiliana na changamoto zinazo mzunguka na kuzitafutia ufumbuzi yakinifu
hivyo usikariri kichwani kuwa kufaulu darasani ndio kipimo tosha cha kuwa na akili. mfano marangapi tumesikia shule wanazoita ni za
vipaji mbona kuna div4. watu hatufanani kama husoma hujui picha hiyo hapo chini tizama
View attachment 62577