hili tatizo inabidi liangaliwe mapema sana tunakoelekea pabaya

kingxvi

JF-Expert Member
Feb 11, 2011
879
150
ni la kila mwaka vyuo kuongezeka matokeo yake mpaka mtu alikuwa na division 3 ya point 14 eti nayeye anapata chuo.wanasababisha population katika ajira pamoja na kushusha heshima ya degree
 
ni la kila mwaka vyuo kuongezeka matokeo yake mpaka mtu alikuwa na division 3 ya point 14 eti nayeye anapata chuo.wanasababisha population katika ajira pamoja na kushusha heshima ya degree
wewe acha kuropoka,wewe unaijua hadhi ya degree????au hujaipa ndo maana unaona ni issue????wewe na hiyo one yako unaweza toka na pass huyo mwenye 3 akawa na first class.acha ubinafsi soma tuone ufaul vizuri wako.
 
wewe acha kuropoka,wewe unaijua hadhi ya degree????au hujaipa ndo maana unaona ni issue????wewe na hiyo one yako unaweza toka na pass huyo mwenye 3 akawa na first class.acha ubinafsi soma tuone ufaul vizuri wako.[/QUOT

cku c nying mungu atakuadhibu ...unajionaaaaa kama vle mtoto wakike kwan we ndo unastaili kusoma au?? acha use....e
 
wewe acha kuropoka,wewe unaijua hadhi ya degree????au hujaipa ndo maana unaona ni issue????wewe na hiyo one yako unaweza toka na pass huyo mwenye 3 akawa na first class.acha ubinafsi soma tuone ufaul vizuri wako.[/QUOT

cku c nying mungu atakuadhibu ...unajionaaaaa kama vle mtoto wakike kwan we ndo unastaili kusoma au?? acha use....e
KWANZA ONE YAKO HIYO NI YA ST MARY'S UNAIONA ISSUE.ATANIBARIKI SANA TU SABABU NIMEKWAMBIA UKWELI.
 
ni la kila mwaka vyuo kuongezeka matokeo yake mpaka mtu alikuwa na division 3 ya point 14 eti nayeye anapata chuo.wanasababisha population katika ajira pamoja na kushusha heshima ya degree

Principle 2 ni system ya dunia nzima.Tatizo nchi yetu ilichelewa kuwekeza katika elimu ya juu.

Hata hivyo nimegungua wabongo wachche waliokuwa wanahitimu vyuo vikuu walikuwa wanajiona ni watu wa kundi tofauti sana ktk jamii.Tatizo wengi hamjapata exposure kujua mambo ya elimu ya juu yakoje ktk nchi za wenzetu.

Kila kitu kina mwanzo na mwisho.Ukiritimba wa vyuo vichache umepitwa na wakati.
 
ni la kila mwaka vyuo kuongezeka matokeo yake mpaka mtu alikuwa na division 3 ya point 14 eti nayeye anapata chuo.wanasababisha population katika ajira pamoja na kushusha heshima ya degree

Nimekuwa nikifuatilia sana comments zako,nimegundua wewe ni mbinafsi sana na mtu wa majivuno sana,haya mkuu na hiyo one yako ya1
 
Principle 2 ni system ya dunia nzima.Tatizo nchi yetu ilichelewa kuwekeza katika elimu ya juu.

Hata hivyo nimegungua wabongo wachche waliokuwa wanahitimu vyuo vikuu walikuwa wanajiona ni watu wa kundi tofauti sana ktk jamii.Tatizo wengi hamjapata exposure kujua mambo ya elimu ya juu yakoje ktk nchi za wenzetu.

Kila kitu kina mwanzo na mwisho.Ukiritimba wa vyuo vichache umepitwa na wakati.

Mkuu hapo kwenye red ndo tatizo kubwa la hao mapimbi
 
Principle 2 ni system ya dunia nzima.Tatizo nchi yetu ilichelewa kuwekeza katika elimu ya juu.

Hata hivyo nimegungua wabongo wachche waliokuwa wanahitimu vyuo vikuu walikuwa wanajiona ni watu wa kundi tofauti sana ktk jamii.Tatizo wengi hamjapata exposure kujua mambo ya elimu ya juu yakoje ktk nchi za wenzetu.

Kila kitu kina mwanzo na mwisho.Ukiritimba wa vyuo vichache umepitwa na wakati.

vyuo vingine ukimaliza ukienda sehemu zingine ukawaambia nimemaliza degree chuo fulani watakushangaa hadi wewe utajishangaa
 
ni la kila mwaka vyuo kuongezeka matokeo yake mpaka mtu alikuwa na division 3 ya point 14 eti nayeye anapata chuo.wanasababisha population katika ajira pamoja na kushusha heshima ya degree

unabongaga pumba 2!!
Ungekuwa wa kike ungekuta ushazalishwa watoto 100
 
acha u. K.u wewe pimbi tatizo mnajiona sana achen majigambo mtaangamia na hzo div 1 na kutoacha wenye 3 tukila bata mambo ya mt achana nayo kama umepata chuo haya na usitujaji wenye dv 3 malaya mkubwa wewe we unadhan msuri wa adv mchezo
 
Sijawahi fikiria kama bado kuna watu wana akili mbovu kama huyu jamaa.ulitaka chuo wasome wenye div ngapi sasa?
Tatizo hujafika chuo thats why unalopoka ngoja uende na hiyo One yako alafu uwakute wenye hizo Div 3:14 na watakukimbiza mpaka uombe wakufundishe.
Umejishusha sana aisee.kupata one sio kuwa una akili bali mtihani uliuotea.
Siku zote akili haipimwi kwa division bali uwezo wa kutatua mambo na kufikiria.mi binafsi wenye div 1za siku hizi nawaona hamna kitu tu maana wengi wao ni wa kukariri
 
wew ucwe mackin wa akil princle 2 z applicable ol ova da world mi nina ndugu yang anasoma degree USA texa alipata scholarshp na 3 ya 16 only 2 princeplez! Xo shut da f**k up!
 
Nadhani huyu jamaa kuna mtu alikuwa anamkashifu kwa kupata div 3 wakati yeye ana 1. Sasa amejikuta amepangiwa facult moja na huyo mshkaji au mshkaji kapangiwa nzuri zaid yake. Sababu ni kwamba, TCU hawana akili finyu kama za kwake.
Ni hayo tu
 
siku zote wajuzi wa mambo huwa haturopoki na kipimo cha mtu kuwa na elimu ni jinsi anavyokabiliana na changamoto zinazo mzunguka na kuzitafutia ufumbuzi yakinifu
hivyo usikariri kichwani kuwa kufaulu darasani ndio kipimo tosha cha kuwa na akili. mfano marangapi tumesikia shule wanazoita ni za

vipaji mbona kuna div4. watu hatufanani kama husoma hujui picha hiyo hapo chini tizama

555563_3081032684431_453807376_n.jpg
 
siku zote wajuzi wa mambo huwa haturopoki na kipimo cha mtu kuwa na elimu ni jinsi anavyokabiliana na changamoto zinazo mzunguka na kuzitafutia ufumbuzi yakinifu
hivyo usikariri kichwani kuwa kufaulu darasani ndio kipimo tosha cha kuwa na akili mfano marangapi tumesikia shule wanazoita ni za vipaji nako kuna div4 pmoja na div0. kama unaakili timamu kweli utaelewa somo

Wafundishe MMDAU.

Yaani hii obsession over paper qualification itatuua.

Unakuta mijitu ina Masters degree hata kuandika barua haijui.

Pathetic.
 
Back
Top Bottom