Chemsha bongo: Shilingi 100 iko wapi?

Biohazard

JF-Expert Member
Aug 21, 2011
2,197
1,459
Nguo inauzwa shilingi elfu 10,000 wewe huna pesa, ukaamua kukopa kwa dada yako sh. 5,000 na kwa kaka sh. 5,000 ukapata elfu 10,000.

Ukaenda kugalaliza na kununua kwa sh. 9,700 ukarudishiwa sh. 300, ukaamua kupunguza deni ukatoa sh. 100 kwa kaka na sh. 100 kwa dada ukabaki na sh. 100.

Hivyo ikawa una deni kwa dada 4900 na kwa dada elfu 4,900. jumla 4800 ukijumlisha na mia iliyobaki unapata 9,900.

Je, shilingi 100 nyingine iko wapi?
 
Nguo inauzwa shilingi elfu 10,000 wewe huna pesa, ukaamua kukopa kwa dada yako sh. 5,000 na kwa kaka sh. 5,000 ukapata elfu 10,000.<br />
Ukaenda kugalaliza na kununua kwa sh. 9,700 ukarudishiwa sh. 300, ukaamua kupunguza deni ukatoa sh. 100 kwa kaka na sh. 100 kwa dada ukabaki na sh. 100. Hivyo ikawa unadeni kwa dada 4900 na kwa dada elfu 4,900. jumla 4800 ukijumlisha na mia iliyobaki unapata 9,900<font color="#ff0000"> je shilingi 100 nyingine iko wapi?</font>
<br />
<br /
chemsha bongo ya level gan? kama ulipunguziwa 300 na kulipa 9700 maana yake unadaiwa 4850 na kila mmoja na sio 4900_
 
<br />
<br /
chemsha bongo ya level gan? kama ulipunguziwa 300 na kulipa 9700 maana yake unadaiwa 4850 na kila mmoja na sio 4900_
Soma vizuri swali weye hujafikia hii level subiri ya kwako level 1
ukaamua kupunguza deni ukatoa sh. 100 kwa kaka na sh. 100 kwa dada ukabaki na sh. 100.
 
Nguo inauzwa shilingi elfu 10,000 wewe huna pesa, ukaamua kukopa kwa dada yako sh. 5,000 na kwa kaka sh. 5,000 ukapata elfu 10,000.<br />
Ukaenda kugalaliza na kununua kwa sh. 9,700 ukarudishiwa sh. 300, ukaamua kupunguza deni ukatoa sh. 100 kwa kaka na sh. 100 kwa dada ukabaki na sh. 100. Hivyo ikawa unadeni kwa dada 4900 na kwa dada elfu 4,900. jumla 4800 ukijumlisha na mia iliyobaki unapata 9,900<font color="#ff0000"> je shilingi 100 nyingine iko wapi?</font>
<br />
<br />
Hili swali limerudiwa,japo halifanani na lile la kwanza ila nenda kacheki thread moja inaitwa 'solve this' alipost njiwa.Yeye badala sh.10000 alitumia sh.100,badala ya sh 5000 alitumia sh.50 n.k.
 
hii ilishatolewa na Dena Amsi, yenye jina Wataalamu wa namba jibu likatolewa na Mis Judith.
 
dada amekupa 5000, kaka amekupa 5000, jumla deni 10,000, ukalipa 200 ukabakiwa na deni la 9800. Kulipata hili deni chukua 9700 jumlisha na 100 uliyobaki nayo mfukoni. Kwa namna nyingine jumla ya pesa ni 9700+200+100
 
huna deni, kwa huyo dada ako na kaka ako hawatakudai ni kama wamekupa tu
 
Nguo inauzwa sh. 10,000 we huna pesa, ukaamua kukopa kwa dada yako sh. 5000 na kwa kaka sh. 5000 ukapata sh. 10,000. Ukaenda kugalaliza na kununua kwa sh. 9,700 ukarudishiwa sh. 300. Ukaamua kupunguza deni. Ukatoa sh. 100 kwa kaka na 100 kwa dada, ukabaki na 100. Hivyo ikawa una deni kwa kaka 4900 na dada anadai 4900, ukijumlisha ya kaka 4900 na dada 4900 unapata 9800 Ukiongeza na ile 100 ya kwako, inakua 9900. Je, 100 imekwenda wapi?
 
CHEMSHA AKILI.
Nguo inauzwa sh. 10,000 we huna pesa, ukaamua kukopa kwa dada yako sh. 5000 na kwa kaka sh. 5000 ukapata sh. 10,000. Ukaenda kugalaliza na kununua kwa sh. 9,700 ukarudishiwa sh. 300. Ukaamua kupunguza deni. Ukatoa sh. 100 kwa kaka na 100 kwa dada, ukabaki na 100. Hivyo ikawa una deni kwa kaka 4900 na dada anadai 4900, ukijumlisha ya kaka 4900 na dada 4900 unapata 9800 Ukiongeza na ile 100 ya kwako, inakua 9900. Je, 100 imekwenda wapi?
 
>= =maswali ya namna hii yako mengi kwenye jukwaa hili na majibu yalishawahi kutolewa.Kwa ufupi jumlisha ulicho kitumia kwanza kisha ulichobakiwa nacho
9700+100+100 kisha 100 uliyonayo mkononi.
 
CHEMSHA AKILI.
Nguo inauzwa sh. 10,000 we huna pesa, ukaamua kukopa kwa dada yako sh. 5000 na kwa kaka sh. 5000 ukapata sh. 10,000. Ukaenda kugalaliza na kununua kwa sh. 9,700 ukarudishiwa sh. 300. Ukaamua kupunguza deni. Ukatoa sh. 100 kwa kaka na 100 kwa dada, ukabaki na 100. Hivyo ikawa una deni kwa kaka 4900 na dada anadai 4900, ukijumlisha ya kaka 4900 na dada 4900 unapata 9800 Ukiongeza na ile 100 ya kwako, inakua 9900. Je, 100 imekwenda wapi?


Ahsante kwa swali lako ARV, Jibu ni kama ifuatavyo:

Nimekopa kwa dada sh. 5000 na kwa kaka sh.5000, kwa hiyo nadaiwa sh. 10000. Nikinunua nguo kwa sh. 9700, nabakiwa na sh. 300. Nikaamua kumrudishia dada sh. 100 na kaka sh. 100. Kwa hiyo dada bado ananidai sh. 4900 na kaka sh. 4900, jumla nadaiwa sh. 9800 ambazo ni sawasawa na 9700 niliyonunulia nguo + 100 niliyobaki nayo.


Kwa maana nyingine: Nikinunua nguo nabakiwa na sh. 300 lakini nadaiwa sh. 10000, nikitoa sh. 200, yaani mia kwa dada na mia kwa kaka, nabaki na deni la sh. 9800. Kwa hiyo ukitaka iwe 10000, chukua deni la sh. 9800 ninalodaiwa, kisha jumlisha na mia mbili ambayo nimekwishalipa, yaani, sh. 9800, deni + sh. 200 ambayo nimelipa, jumla = sh. 10000.

Kuna namna nyingi za kujibu swali hili, naona niishie hapa.
 
Kwa maana hiyo ARV, mia nimebaki nayo kwa sababu hesabu niliyoifanya hapo juu inaonyesha bado nadaiwa sh. 9800. Ili nisiwe na hiyo mia nilitakiwa kubaki na deni la sh. 9700 tu ambayo ni hela niliyonunulia nguo. Rejea hesabu hapo juu.
 
sh.100 ya kwako unajumlisha ya kazi gani? Unadaiwa sh. 9800 kwa sababu ulilipa sh. 200 katika sh. 10,000 uliyokopeshwa. Hapo hakuna sh. 100 isiyoonekana, kosa ulilofanya unajumlusha asset na liabilities kwa pamoja wakati ni vitu viwili tofauti.

Ni kaquiz kazuri kama hujasoma btn the lines.
 
Back
Top Bottom