Kiresua
JF-Expert Member
- May 13, 2009
- 1,184
- 259
WanaJukwaa,
Poleni kwa majukumu yenu ya kila siku,
Muda mfupi uliopita nilikuwa naangalia kipindi maalum kilichokuwa kinarushwa na runinga ya MLIMANI kwa ushirikianao na Jumuiya ya Makanisa CCT kuhusu wananchi walioathirika na madhara ya sumu iliyokuwa ikivuja kutoka mgodi wa madini unaomilikiwa na Kampuni ya Madini ya Barrick kwnye mto TIGITE. Ilitia simamzi sana kuona jinsi watu walivyoathirika na wengini kupoteza maisha, mifugo kufa achilia mbali viumbe wa majini (kwani hakuna kuimbe kilicho himili sumu ile) na hata sasa hali bado ni tete(?)
Waziri Kagasheki aliwahi kutembelea akadanganywa, na akagundua amedanganywa akawaka sana... na kilichooendelea makijua wenyewe. Muungano wa dini nao ulitembelea waathirika na kupandekeza kwa serikali lakini Mhhh jamani wamepuuzwa na hawa PIA!! Mwaka jana Kuna Mbunge aliuliza swali Bungeni ni Hatua zipi serikali ilizichukuwa ikiwepo kulipa fidia walioathirika kama sheria za madini zinavyotaka.. Kwa masikitiko waziri alijibu hakuna tathmini iliyokwisha fanyika kuhusu watakaolipwa fidia (in 3 yrs period??) serikali haiwajali watu wake???? aahhhh!!!! (hata kama mgodi ni wa Bush? lakini sio hivi) ipo siku mtalipa kwa kwa kuwakosea watu wetu haki yao-mnafikiri Mungu alikosea kuwaweka Tanzania? your days are numbered!!
Kwa kuona hii jitihada ya MLIMANI TV na CCT, nikaona siwezi kuliacha lipite unnoticed/unattended. we have to speak about this again and again and again!!! Tutimize wajibu wetu, wadau hata kama watawala watafunga masikio wasisikie tuandelea kusema, HAMTENDEI HAKI WATANZANIA. Dr Mwakyembe amegusishwa kitambaa tuu dunia nzima ilijua na kusema, waandishi wote wnannadika habari yakehadi leo... jee mwannchi wa Tarime (a VOICE LESS) nani anayemsemea kama si mm na wewe!!?
CDM na vyama vingine, CSOs, Wanaharakati, LHRC na wengine mko wapi!!?? jamani hata kama lilikwisha kuzungumzwa hapo nyuma, lakini tuwaunge mkono kuliibua tena hili suala
Naomba kuwasilisha
Poleni kwa majukumu yenu ya kila siku,
Muda mfupi uliopita nilikuwa naangalia kipindi maalum kilichokuwa kinarushwa na runinga ya MLIMANI kwa ushirikianao na Jumuiya ya Makanisa CCT kuhusu wananchi walioathirika na madhara ya sumu iliyokuwa ikivuja kutoka mgodi wa madini unaomilikiwa na Kampuni ya Madini ya Barrick kwnye mto TIGITE. Ilitia simamzi sana kuona jinsi watu walivyoathirika na wengini kupoteza maisha, mifugo kufa achilia mbali viumbe wa majini (kwani hakuna kuimbe kilicho himili sumu ile) na hata sasa hali bado ni tete(?)
Waziri Kagasheki aliwahi kutembelea akadanganywa, na akagundua amedanganywa akawaka sana... na kilichooendelea makijua wenyewe. Muungano wa dini nao ulitembelea waathirika na kupandekeza kwa serikali lakini Mhhh jamani wamepuuzwa na hawa PIA!! Mwaka jana Kuna Mbunge aliuliza swali Bungeni ni Hatua zipi serikali ilizichukuwa ikiwepo kulipa fidia walioathirika kama sheria za madini zinavyotaka.. Kwa masikitiko waziri alijibu hakuna tathmini iliyokwisha fanyika kuhusu watakaolipwa fidia (in 3 yrs period??) serikali haiwajali watu wake???? aahhhh!!!! (hata kama mgodi ni wa Bush? lakini sio hivi) ipo siku mtalipa kwa kwa kuwakosea watu wetu haki yao-mnafikiri Mungu alikosea kuwaweka Tanzania? your days are numbered!!
Kwa kuona hii jitihada ya MLIMANI TV na CCT, nikaona siwezi kuliacha lipite unnoticed/unattended. we have to speak about this again and again and again!!! Tutimize wajibu wetu, wadau hata kama watawala watafunga masikio wasisikie tuandelea kusema, HAMTENDEI HAKI WATANZANIA. Dr Mwakyembe amegusishwa kitambaa tuu dunia nzima ilijua na kusema, waandishi wote wnannadika habari yakehadi leo... jee mwannchi wa Tarime (a VOICE LESS) nani anayemsemea kama si mm na wewe!!?
CDM na vyama vingine, CSOs, Wanaharakati, LHRC na wengine mko wapi!!?? jamani hata kama lilikwisha kuzungumzwa hapo nyuma, lakini tuwaunge mkono kuliibua tena hili suala
Naomba kuwasilisha