Hili sasa ni tatizo!

TWALICIOUS

Member
May 26, 2011
42
0
Ama kwa hakika umeme kama wimbo wa taifa sasa 2megoma kuimba...ikiwa kama chuo kikuu cha taifa na dunia kwa ujumla umeme umekatika unafkiri kuna kinachoendelea kweli hali imeendelea kujitokeza katika chuo kikuu cha dar es salaam maaruf kama udsm baada ya wanafunz kushndwa piga lecture et umeme umekatika na there no altenatv way...swali la kujiuliza ikiwa kama chuo kinachotegmewa kutoa maprofesional weng wenye uwezo wa kusaidia taifa hili je kwa hali kama hii itawezekana kweli?
 
We upo chuo kweli? Mbona hoja zako hazieleweki? Unataka tujadili hicho chuo cha dunia au tujadili tatizo la umeme? Kajipange upya.By the way moderator please katika process za usajili kuwa member tunaomba uweke swali la kuuliza kama mtu ni mentally fit maana kwa hali JF itajaa watu wasiojitambua.Mimi niko kazini nimesoma Nairobi huyu kasoma sijui wapi huko anatuweka akili juu kuona title ya maana kumbe upuuzi mtupu.
 
We upo chuo kweli? Mbona hoja zako hazieleweki? Unataka tujadili hicho chuo cha dunia au tujadili tatizo la umeme? Kajipange upya.By the way moderator please katika process za usajili kuwa member tunaomba uweke swali la kuuliza kama mtu ni mentally fit maana kwa hali JF itajaa watu wasiojitambua.Mimi niko kazini nimesoma Nairobi huyu kasoma sijui wapi huko anatuweka akili juu kuona title ya maana kumbe upuuzi mtupu.
sio kiivyo unachotakiwa ww ni kumjibu,sio kumchamba
 
Hata mimi camin kama kweli huyo jamaa anajiita yuko kazin ni professional kama co wale wa undugulization na kama c levo yko ni certificate ba2 ni primary na waliokazn wasemeje? Kwan hta ushoga nh kazi?
 
Hata mimi camin kama kweli huyo jamaa anajiita yuko kazin ni professional kama co wale wa undugulization na kama c levo yko ni certificate ba2 ni primary na waliokazn wasemeje? Kwan hta ushoga nh kazi?

nawasisi na elimu yako,kama ulikua unasoma kwa kukariri ili upate kalai(grade c) basi umepata hasara kubwa sana ya kupoteza muda shuleni.Yani mwanachuo hujui nini maana ya kazi? What is a job? Nakumbuka haya ni maswali ya form 1 kama sijakosea,ushoga huwezi kuuhalalisha ukawa kazi labda ukawape masaburi yako wabunge wote wa kiume wanaweza wakauweka katika sheria kuwa ushoga nao huwo katika kazi halali.Behave mdogo wangu humu kuna baba zako.
 
We upo chuo kweli? Mbona hoja zako hazieleweki? Unataka tujadili hicho chuo cha dunia au tujadili tatizo la umeme? Kajipange upya.By the way moderator please katika process za usajili kuwa member tunaomba uweke swali la kuuliza kama mtu ni mentally fit maana kwa hali JF itajaa watu wasiojitambua.Mimi niko kazini nimesoma Nairobi huyu kasoma sijui wapi huko anatuweka akili juu kuona title ya maana kumbe upuuzi mtupu.

we kaa ukijua kwa sasa huku JF pre-form 1 wamezamia hili jukwaa
 
Ama kwa hakika umeme kama wimbo wa taifa sasa 2megoma kuimba...ikiwa kama chuo kikuu cha taifa na dunia kwa ujumla umeme umekatika unafkiri kuna kinachoendelea kweli hali imeendelea kujitokeza katika chuo kikuu cha dar es salaam maaruf kama udsm baada ya wanafunz kushndwa piga lecture et umeme umekatika na there no altenatv way...swali la kujiuliza ikiwa kama chuo kinachotegmewa kutoa maprofesional weng wenye uwezo wa kusaidia taifa hili je kwa hali kama hii itawezekana kweli?

hebu tutolee huu upumbav wako!et chuo cha dunia,kinategmewa na taifa...we una akili sawasawa kwel?
Hao graduat wanaotegmew na taifa wamefny nn kudhihrisha kweli Taifa linawategemea?mbona ss unalalamika umeme hamna?acha kupiga promo humi kijana unalipwa?kweli pre 4m1 washavamia JF,
 
Ama kwa hakika umeme kama wimbo wa taifa sasa 2megoma kuimba...ikiwa kama chuo kikuu cha taifa na dunia kwa ujumla umeme umekatika unafkiri kuna kinachoendelea kweli hali imeendelea kujitokeza katika chuo kikuu cha dar es salaam maaruf kama udsm baada ya wanafunz kushndwa piga lecture et umeme umekatika na there no altenatv way...swali la kujiuliza ikiwa kama chuo kinachotegmewa kutoa maprofesional weng wenye uwezo wa kusaidia taifa hili je kwa hali kama hii itawezekana kweli?

Hivi na usomi wenu wote na vitengo vyote, vya sayansi mmeshindwa mpaka leo kujifulia umeme wenu wenyewe? sasa mnasoma nini, si bora muingie mitaani tu? Mie ambae sipo huko chuoni lakini umeme wa TANESCO ukikatika najitegemea kwa umeme. Unanshangaza!
 
hivi na usomi wenu wote na vitengo vyote, vya sayansi mmeshindwa mpaka leo kujifulia umeme wenu wenyewe? Sasa mnasoma nini, si bora muingie mitaani tu? Mie ambae sipo huko chuoni lakini umeme wa tanesco ukikatika najitegemea kwa umeme. Unanshangaza!

councelor na vice counselor wa udsm kateuliwa na nani?aliyemteua na sera ya chama chake haina maana kama chuo kinashindwa kuzalisha umeme
 
Back
Top Bottom