TWALICIOUS
Member
- May 26, 2011
- 42
- 0
Ama kwa hakika umeme kama wimbo wa taifa sasa 2megoma kuimba...ikiwa kama chuo kikuu cha taifa na dunia kwa ujumla umeme umekatika unafkiri kuna kinachoendelea kweli hali imeendelea kujitokeza katika chuo kikuu cha dar es salaam maaruf kama udsm baada ya wanafunz kushndwa piga lecture et umeme umekatika na there no altenatv way...swali la kujiuliza ikiwa kama chuo kinachotegmewa kutoa maprofesional weng wenye uwezo wa kusaidia taifa hili je kwa hali kama hii itawezekana kweli?