tete'a'tete
JF-Expert Member
- Feb 10, 2010
- 472
- 62
Wana JFs kuna jambo ambalo mi ninaliona ni janga la kitaifa japo halitiliwi mkazo wa kutosha, kwa waliopitia vyuo mbalimbali hasa vyuo vikuu tatizo hili ni kubwa sana.
Mfumo wa ajira Tanzania mara nyingi unaangalia vyeti vya watu hapo ndo napotaka kuelezea pointi yangu.Wasichana wengi wanapata vyeti vizuri kwa kujidhalilisha kwa wahadhiri na si kwa uwezo wao, sasa ajira inapotolewa kwa kuangalia na nchi yetu kwa sasa inaongonzwa na kauli mbiu ya haki sawa kwa nyanja zote ikiwemo ajira. Hivi mambo yanapokwenda vibaya katika maeneo mbalimbali ya kazi huku ufanisi ukiwa duni,tunafanya nini kupata wanawake bora wa kutuongoza waliotumia ubongo wao na si miili yao?
Kwangu hili ni janga la kitaifa japo unafiki umetutawala kuuficha ukweli huu, naomba mawazo yenu kwa tatizo hili.
Mfumo wa ajira Tanzania mara nyingi unaangalia vyeti vya watu hapo ndo napotaka kuelezea pointi yangu.Wasichana wengi wanapata vyeti vizuri kwa kujidhalilisha kwa wahadhiri na si kwa uwezo wao, sasa ajira inapotolewa kwa kuangalia na nchi yetu kwa sasa inaongonzwa na kauli mbiu ya haki sawa kwa nyanja zote ikiwemo ajira. Hivi mambo yanapokwenda vibaya katika maeneo mbalimbali ya kazi huku ufanisi ukiwa duni,tunafanya nini kupata wanawake bora wa kutuongoza waliotumia ubongo wao na si miili yao?
Kwangu hili ni janga la kitaifa japo unafiki umetutawala kuuficha ukweli huu, naomba mawazo yenu kwa tatizo hili.