florence
JF-Expert Member
- Mar 5, 2011
- 423
- 161
Mimi ni bint wa miaka 28 nina shahada ya kwanza, huwa siwez kabisa kuconcentrate mtu anapoongea na kumwelewa kwa haraka, akiwa katikati mie nimeshahamia kwingine kabisa
Mfano kwenye Mikutano eg ya kiofisi, nashtukia tu mtu amemaliza kutoa hoja au kusoma kabrasha na watu wanajadili. Naomba mnisaidie cha kufanya ili nikiepuke sielewi tatizo ni nini vilevile cna comfidence kabisaaaaa nikiambiwa natakiwa nipresent issue flani nahisi moyo unataka kutokea mdomoni unavyopiga kwa nguvu japokuwa ukiniambia kazi ile ile nifanye na kuwasilisha bila kuongea ni nzuri kbs .
Nisaidieni jamani naichukia sana hali hii, najua hapa Jf hakishindikani kitu.
Asanten kwa ushirikiano
Mfano kwenye Mikutano eg ya kiofisi, nashtukia tu mtu amemaliza kutoa hoja au kusoma kabrasha na watu wanajadili. Naomba mnisaidie cha kufanya ili nikiepuke sielewi tatizo ni nini vilevile cna comfidence kabisaaaaa nikiambiwa natakiwa nipresent issue flani nahisi moyo unataka kutokea mdomoni unavyopiga kwa nguvu japokuwa ukiniambia kazi ile ile nifanye na kuwasilisha bila kuongea ni nzuri kbs .
Nisaidieni jamani naichukia sana hali hii, najua hapa Jf hakishindikani kitu.
Asanten kwa ushirikiano