Mamushka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2010
- 1,595
- 99
unanikumbusha wakati wa enzi zile ukipata demu unaanzia chooni kwanza, unakuja kumalizia kwake du kweli historia inajirudia
Duh we nae kiboko adha yote ya nini na demu akusubiri.
unanikumbusha wakati wa enzi zile ukipata demu unaanzia chooni kwanza, unakuja kumalizia kwake du kweli historia inajirudia
:shock::shock:Natamani nikusaidie uache hayo mazoea but.................:car::car:
Labda ukifika home uangalie movie za vita au action za xfile ili uondoe mawazo hayo maana kwa mwanaume ni mbaya sana aisee!
imagine unavyoua misuli ya uume wako kwa mkono wako mwenyewe! Nakushauri uoe mke haraka sana miaka 30 inafaa kabisa kuwa na mke.au ishi na mdogo wako ili awe anakukosesha mwanya wa mambo hayo maana utahisi kama atakukuta unafanya hivyo labda itasaidia kwa kiasi fulani
Jamani tusimtukane au kumyanyapaa...!
Mwenzetu amekua wazi na kusema tatizo lake liko wapi...! Ni vyema tukatafuta njia ya kumsaidia ikiwa ni pamoja na mbinu na mawazo ya kumfariji ili aweze kuondokana na tatizo hili...!
Pia, labda atueleze pia kwamba yeye anaishi katika mazingira gani? kuna watu majirani au anafanya kazi ya aina gani? Je mara ya mwisho kufanya mapenzi na mwanamke ilikua lini? Je yuko mbali na mpenzi wake?
Pia ni vyema mkamueleza madhara yatokanayo na kufanya tendo hili...!