TATIANA
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 4,627
- 2,272
unajua rose haka kaugonjwa hata kama una demu unaweza kumuacha amelala ukaenda bafuni kujichua! Wanasema kamchezo hako kana raha yake!!
kana raha kuliko ku do na mwanamke?
unajua rose haka kaugonjwa hata kama una demu unaweza kumuacha amelala ukaenda bafuni kujichua! Wanasema kamchezo hako kana raha yake!!
kana raha kuliko ku do na mwanamke?
Bandugu nawasalimu.. Nina miaka 30 sasa, sijaoa kwa kuwa bado antena ya maisha haijakaa sawa, nakamata chenga.!
Kuna tatizo linanisumbua sana, yaani haupiti usiku bila "kujikamua". Ninapopanda kitandani tu "Jogoo" anataka kuwika.
Nimejaribu kuacha lakini nimeshindwa..tena ikipita usiku sijajichua, usiku unaofuata nakamua hadi mara nne. Naomba msaada wenu wana JF.
kaka acha mchezo huo mapema sana kabla tatizo halijawa sugu, ulikuwa wapi kufanya kipindi cha 14-17/18. Kwanza, uwezo wako wa kufikiri utapungua 80% (serious) maana utatumia nguvu nyingi katika kuvuta hisia wakati ukimasterbate, viungo vyako vya mwili (vyote) vitaisha nguvu namanisha utalegea mwili, uume utapungua nguvu 95%, utachoka muda wote, utakosa hisia za mapenzi katika uhalisia kwa mwanamke, utaua kizazi...athari zote hizi na nyinginezo(kutoka kwa doctors/wataalam) utazipata baada ya 2/3 years...acha kabisa!!!!!!!!
Sometimes atakuwa anashindwa kumshughulikia mke wake hadi ajikamue kwanza.
before kulala paka mikono pilipili
:shock::shock:Natamani nikusaidie uache hayo mazoea but.................:car::car:
Tekniki zako bana ngoja nikajaribu leo lol!!!!
:msela:
Dah!! Shemeji huchelewi na weyeAfrodenz yu wapi au kuna tatizo au ndo mazoea na wewe???:shock:
Una mapepo wachafu
huyo ni pepo mbaya amejikita ktk ubngo wako. Please consult your padre ama sheikh ASAP akuombee uachane na huyo pepo/shetani mbaya kabla haijawa too lateBandugu nawasalimu.. Nina miaka 30 sasa, sijaoa kwa kuwa bado antena ya maisha haijakaa sawa, nakamata chenga.!
Kuna tatizo linanisumbua sana, yaani haupiti usiku bila "kujikamua". Ninapopanda kitandani tu "Jogoo" anataka kuwika.
Nimejaribu kuacha lakini nimeshindwa..tena ikipita usiku sijajichua, usiku unaofuata nakamua hadi mara nne. Naomba msaada wenu wana JF.
Ndugu yangu una tatizo kubwa sana ambalo kama hautolitafutia ufumbuzi mapema unaweza kujikuta huwezi kumudu mahusiano na mwanamke yeyote,
-Ukiwa na mwanamke hutosikia raha wakati wa tendo kama unavyosikia wakati ukijichua
-Wakati wa tendo utajikuta ukimaliza mshindo mapema sana kabla ya mwenzi wako na kumuacha akiwa na hamu ambayo itapelekea naye kutafuta wa kumaliza kiu yake sehemu nyingine
Kwa msaada unatakiwa upate ushauri wa namna ya kuachana na hiyo hali maana inaonesha umekwishaathirika kisaikolojia jambo ambalo ni gumu sana kwako kuacha,
Mrudie Muumba wako na kufuata mafundisho yake kama unaamini katika dini yoyote.
Pole sana.
:shock::shock:Natamani nikusaidie uache hayo mazoea but.................:car::car: