Baada ya Madaktari kutoa taarifa kwamba wataandamana, Kamanda wa polisi Kanda maalum ya Dar es salaam Suleiman Kova amesema "mtu yeyote atakaejaribu iwe ni baraza la habari la kiislamu au hawa MAT (Madaktari) wasijaribu kufanya hayo maandamano kwa sababu hatuwezi kuruhusu makosa yatendeke"
Ameweka wazi kwamba "natoa onyo kali wasiandamane kwa sababu maandamano......
KWA HABARI KAMMILI BOFYA HAPA http://moses-ayoub.blogspot.com/2012/07/hili-ndio-tamko-la-polisi-kuhusu.html