Vp linasemaje?attach imegoma kufunguka kwangu hapa,ila i guess ni mambo ya ajabu
Vp linasemaje?attach imegoma kufunguka kwangu hapa,ila i guess ni mambo ya ajabu
Nahisi kulala
Safi sana mkuu,kweli tunahitaji kufikiri sana,watanzania tunahitaji kuamka
haka ka nchi ketu kazuri kamefika mahali kanaanza kutengeneza identity yake. Mambo ya mtu mmoja kuwa msemaji wengine kukaa kimya hayana tena nafasi.