Nimesafiri namabasi ya kampuni hii mara nyingi sana na nilichokishuhudia ni speed ambayo kama roho yako nyepesi si ajabu ukajisaidia nguoni mwanzo mpaka mwisho wa safari,si ajabu injini ilichemka kiasi cha kulipuka na hawakuwa na vifaa vya kuzimia moto..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.