Elections 2010 Hili nalo litalipuka hivi karibun....maana linafukuta jikoni

Nipatie habari sahihi ili kuweza kutumia taasisi za kuaminika huko Uingereza kufuatilia na kuweka mambo hadharani.
 
Kama kweli hii habari ni ya ukweli, sijui tufanyiwe nini watanzania ili tuichukie sisiemu na utawala wake...
 
Hii ndo Tz bwana kuna wanoona izo ela ni nyingi wakati kwa wengine ni kama vjisent
Kwa Tz iyo inawezekana nchi imeoza hii
 
Tena bado kashfa ya JK Mabillion aliyo tapeli kwenye familia ya kitajiri usa kwa ajili ya hospital na mabillion yaliyotolewa na nchi wahisani kwa ajili ya kuelimisha jamii umuhimu wa kupiga kura wao wakafanya za campaign kazi ipooooooooooomie nahama nchii..
Mi si shangai inaweza kua kweli.
Na UK niwajuavyo ni ma-pirates watafreeze hizo hela wajengee train za kasi huku sisi hata barabara ikiwa ni ndoto!
Bob Marley aliya jua haya,msikilize kwenye nyimbo yake ya Redemption.

YouTube - Bob Marley-Redemption Song-With Lyrics

 
Angalieni hizi zisije kuwa hekaya za abunuasi. chimbueni details wana JF
 
Sawa umenena, ni nani atashindwa kuamini kuwa haya uliyoyaandika hapa siyo uzushi? Tunajua kuwa mmejipanga kumwaga sumu hapa jamvini, mtahakikisha kuwa jamvi linageuka kuwa la uzushi, tunaelewa hilo ni agizo. Tunajua mko zaidi ya 42, tekelezeni hilo agizo lakini msisahau kuwa Tanzania hii ni yetu sote. Kitendo cha kubuni na kutunga hadhithi zenye hisia. Ni kwa hali hiyo wa 16 na wewe mlikuja hapa jamvini na kutulisha sumu hadi tukapagawa. Wewe endelea kutekeleza agizo la mafisadi wakati huo dada zako, shangazi zako, wajomba zako na hata wadogo zako akiendelea kuibiwa na hao mabwana zako. MUNGU IBARIKI Tanzania
 
Jamani wana JF mimi nina wasiwasi na watu wanaokuja humu JF kulipua mabomu, inawezekana lengo lao ni kutupotezea malengo, kutulisha sumu, tuache kujadili mambo ya msingi tukae tukijadili uzushi.

Nadhani lengo lao pia ni huko mbeleni kukifanya kijiwe hiki kionekane ni cha wahuni, wapiga kelele mtandaoni, watu walalamishi n.k.
Nadhani pia wengine hujifanya ni wapiganaji hodari, wakishajijengea aina fulani ya kuaminika wanaanza kuleta thread fulani zenye kuserve purpose fulani. kwa hiyo tuwe makini sana
 
Unaleta tujadili UDAKU, unaharibu sifa ya JF


angalia tusije tuka ki quote baadae lol! mbona kuna makubwa zaidi ya hayo ndugu yangu, usije kufa kwa pressure we jikalie pembeni
mi hilo hata sijashtuka naona kama kumnunulia mtoto peremende kwa CCM....

Kuna mia account ya watu inatisha kwa kipindi cha miezi miwili iliyopita bwana............... Mihela fyaaaaaaaaaaaaa fyaaaaaaaaaaaaaa

Kama wachakachuaji wamepewa magari kila mtu we unafikiri Mchezo?? au tukuwekee na picha za magari:A S angry:
 
Huo ni uzushi mtupu.... Milioni 100 kila siku kuanzia 2005 hadi 2010 ni sawa na karibu sh bilioni 200, kama nchi ina uwezo wa kutoa kiasi hicho cha fedha kumlipa mtu basi Tanzania si masikini, na kama mtu kaweza kujikusanyia fedha kama hizi ana haja gani ya kuhangaikia huo uongozi?
Kuandika habari za uzushi hakutatufikisha popote zaidi ya kuleta jazba na uhasama n ikiwa hivyo hata lengo la ushindi wa kujikomboa kutokana na rushwa na ufisadi halitafanikiwa
 
Huo ni uzushi mtupu.... Milioni 100 kila siku kuanzia 2005 hadi 2010 ni sawa na karibu sh bilioni 200, kama nchi ina uwezo wa kutoa kiasi hicho cha fedha kumlipa mtu basi Tanzania si masikini, na kama mtu kaweza kujikusanyia fedha kama hizi ana haja gani ya kuhangaikia huo uongozi?
Kuandika habari za uzushi hakutatufikisha popote zaidi ya kuleta jazba na uhasama n ikiwa hivyo hata lengo la ushindi wa kujikomboa kutokana na rushwa na ufisadi halitafanikiwa


Nani alikudanganya kwamba Tanzania ni masikini??:nono::nono::nono:

hivi unajua kwenye telecom industry tu peke yake wakibanwa kina T somaiya watoto wanasoma bure nchi nzima??
hapo hatujaenda kwenye mines etc etc etc..... :A S angry:
 
Huo ni uzushi mtupu.... Milioni 100 kila siku kuanzia 2005 hadi 2010 ni sawa na karibu sh bilioni 200, kama nchi ina uwezo wa kutoa kiasi hicho cha fedha kumlipa mtu basi Tanzania si masikini, na kama mtu kaweza kujikusanyia fedha kama hizi ana haja gani ya kuhangaikia huo uongozi?
Kuandika habari za uzushi hakutatufikisha popote zaidi ya kuleta jazba na uhasama n ikiwa hivyo hata lengo la ushindi wa kujikomboa kutokana na rushwa na ufisadi halitafanikiwa


Nani alikudanganya kwamba Tanzania ni masikini??:nono::nono::nono:

hivi unajua kwenye telecom industry tu peke yake wakibanwa kina T somaiya watoto wanasoma bure nchi nzima??
hapo hatujaenda kwenye mines etc etc etc..... :A S angry:
 
The man in question alinishangaza kwa mipesa aliyokuwa nayo wakati wa kura za maoni kule kwao. Alimwaga mipesa kama hana akili nzuri, lakini bado watu walizila zile pesa na kura wakamnyima. Nikisema wakamnyima ninamaanisha kweli kwamba walimnyima maana mawakala wake ambao ndio walikuwa kawapa pesa hata wao walimnyima kura.
Kuna vituo vingi hakupata kura hata moja pamoja na kwamba alikuwa na wakala katika kituo!
So, inawezekana! Ila tunahitaji evidence kwenye tuhuma kama hizi, otherwise ni udaku kama udaku mwingine ingawa Tanzania everything is possible!
 
Kutokana na chanzo kilichonitonya habari hizi kuwa ni cha idara nyeti ya serikali naomba kutoa hoja kama ifuatavyo:

Katika kukurukakara za kujiandaa na uchaguzi huu wa mwaka 2010.. kuna habari kuwa kuanzia mwaka 2005 waziri mmoja wa awamu iliyopita ambaye ana mkono wake TICS alianza kulipwa TSHS 100 mil kila siku awe amefanya kazi ama la lakini hizo pesa aliagizwa na mkuu wake akusanye kwa ajili ya uchaguzi huu wa mwaka 2010. Hivyo zile pesa zikawa zinalipwa kwa huyu waziri kupitia benki kuu na kuwa deposited kwenye benki kuu ya uingereza.

Kosa walilolifanya ni kuwa kule uingereza zilikuwa zinakuwa deposited kama pesa kutoka tanzania si kwa mtu binafsi hivyo ilipofika mwaka huu walipoenda kutaka kudraw hizi pesa wakaambiwa kuwa hizi pesa ni za tanzania si za mtu binafsi hivyo wakaagiza gavana fedha mzee B. Ndulu akazisaini kuidhinisha kutoka kwa pesa hizo.

Kwakuwa ilikuwa ni mtego gavana akakataa kwenda akidai kuwa shughuli za uchaguzi zimeshika kasi hivyo hadi uchaguzi upite. Inadaiwa kuwa serkali ya uingereza ikauliza inakuwa watz wanaomba pesa ya uchaguzi wakati wana mabilion ya pesa zao hapa kwenye benki yetu?

Kisa kilichopelekea kumuita gavana akazisaini lakin hakutia mguu. inasadikika kuwa wakubwa wa kaya bado wanagonganisha vichwa ili kujua watasolve vipi hii kadhia.

Naomba kutoa hoja mwenye kuijua vizuri hii issue atuhabarishe

Uongo mtupu. Kwanza hakuna mwenye uwezo wa kumlipa mtu pesa hizo kwa siku. Pili, hakuna mtu mwenye akaunti Benki Kuu ya Uingereza. Mnaharibu jamvii kwa kuleta mambo kama haya. Machi yenyewe hatujaiona, nyinyi mnataka kutuletea za Aprili 1.

Amandla.....
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom