We Know Next
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 814
- 380
Wanajamii, Baadhi ya magazeti ya leo tarehe 21/6/2011, yameripoti kuwa Waziri Mkuu, jana amesema kuwa 3/4 ya wafanyakazi wa Serikali hawawajibiki ipasavyo na ndiyo chanzo kikubwa cha ufanisi mdogo serikalini.
1. Ikiwa kama hizo statistics ni kweli, basi kuondoa umasikini wa watanzania ni ndoto za alinacha;
2. Hii inamaana kuwa, hakuna viongozi wa kuweza kuwawajibisha watu huko serikalini ndio maana watu wapowapo tu;
3. Waziri Mkuu anachukua hatua gani baada ya kuona hali hiyo?
My take:
1. Inawezekana wafanyakazi serikalini wamekuwa wengi sana, basi ni vyema wapunguzwe;
2. Napendekeza Ajira Serikalini ziwe za Contract kati ya miaka 3-5. Na mtu aweze kureview contract yake based in performance. Kwa utaratibu wa sasa, watu wanajisahau kwa vile wanajua hakuna kufukuzwa kazi hata kama ukiiba. Watu wengi wanasema Serikalini kuna security, hilo ndilo jambo linawafanya wengi kuwa wazembe na kutowajibika;
3. Serikali iingie mkataba na Private firms kusimamia zoezi zima la perfomance za wafanyakazi Serikalini, nina uhakika hapo ngoma itanoga.
Natoa hoja!
1. Ikiwa kama hizo statistics ni kweli, basi kuondoa umasikini wa watanzania ni ndoto za alinacha;
2. Hii inamaana kuwa, hakuna viongozi wa kuweza kuwawajibisha watu huko serikalini ndio maana watu wapowapo tu;
3. Waziri Mkuu anachukua hatua gani baada ya kuona hali hiyo?
My take:
1. Inawezekana wafanyakazi serikalini wamekuwa wengi sana, basi ni vyema wapunguzwe;
2. Napendekeza Ajira Serikalini ziwe za Contract kati ya miaka 3-5. Na mtu aweze kureview contract yake based in performance. Kwa utaratibu wa sasa, watu wanajisahau kwa vile wanajua hakuna kufukuzwa kazi hata kama ukiiba. Watu wengi wanasema Serikalini kuna security, hilo ndilo jambo linawafanya wengi kuwa wazembe na kutowajibika;
3. Serikali iingie mkataba na Private firms kusimamia zoezi zima la perfomance za wafanyakazi Serikalini, nina uhakika hapo ngoma itanoga.
Natoa hoja!