cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
NIMEJICHUBUA,JE KUNA DAWA YA KURUDISHA NGOZI YA ZAMANI?
(hebu ona madhara ya kumkosoa Mungu,turidhike na alivyopenda tuwe jamani)!!
mimi nina miaka 31, na mwaka 2000 baada ya kutoka tanzania na ngozi yangu asili (origino) ambayo ilikuwa ni nyeusi na ya kun'gaa, marafiki zangu hapa texas, walinishawishi niongeze uweupe kidogo ili nami ning'ae. basi nikapata vidonge vya kungarisha mwili, yaani kuwa mweupe zaidi. Na kusema kweli, nilibadilika ngozi, nikawa mweupe sana, na siyo rahisi mtu kujua kama kweli nimetumia madawa, isipokuwa walionifahamu tangu utotoni ndio wanaoshangaa uweupe huu nimeutoa wapi. sasa nilipataga mimba, ambayo ilikuja kutoka, ila sikujua tatizo ni nini. Hapa majuzi tena, nikashika mimba ya pili bahati mbaya mtoto kafa (yaani mimba imeharibika) nilienda kwa dakitari kutaka kujua tatito liko wapi, hapo ndo nikaambiwa kwamba kuna chemicals kwenye mwili wangu ambazo ndio chanzo cha watoto wangu kufa.
nimeambiwa kwamba hayo madini ni mengi mno, na nisipoangalia nitakufa na cancer ambayo inaweza kuanza muda wowote. suluhisho linaweza kupatikana nikisafisha damu, na uwezo huo sina, au kama naweza kurudisha ngozi yangu ya zamani kwa sababu sasa hivi ngozi yangu haina kinga tena. Sisikitikii weupe, kwa maana nikitu ambacho nilikitamani, kwa hiyo mzigo lazima niubebe, ombi langu ni ushauri wa kuweza kutoa hizi kemikali mwilini mwangu.kama ni kufa basi tena. cha ajabu ni kwamba mchumba wangu ametishia kuniacha kwani siwezi kuzaa tena. yaani sasa hivi analala nje full, naumia lakini sina jinsi
naombeni ushauri wenu, niko njia panda
mdau, texas usa
P.s:mimi nawakilisha tu sio mie cheusi niliyetumia mkorogo.:nono:
jumatatu njema.
love you all
(hebu ona madhara ya kumkosoa Mungu,turidhike na alivyopenda tuwe jamani)!!
mimi nina miaka 31, na mwaka 2000 baada ya kutoka tanzania na ngozi yangu asili (origino) ambayo ilikuwa ni nyeusi na ya kun'gaa, marafiki zangu hapa texas, walinishawishi niongeze uweupe kidogo ili nami ning'ae. basi nikapata vidonge vya kungarisha mwili, yaani kuwa mweupe zaidi. Na kusema kweli, nilibadilika ngozi, nikawa mweupe sana, na siyo rahisi mtu kujua kama kweli nimetumia madawa, isipokuwa walionifahamu tangu utotoni ndio wanaoshangaa uweupe huu nimeutoa wapi. sasa nilipataga mimba, ambayo ilikuja kutoka, ila sikujua tatizo ni nini. Hapa majuzi tena, nikashika mimba ya pili bahati mbaya mtoto kafa (yaani mimba imeharibika) nilienda kwa dakitari kutaka kujua tatito liko wapi, hapo ndo nikaambiwa kwamba kuna chemicals kwenye mwili wangu ambazo ndio chanzo cha watoto wangu kufa.
nimeambiwa kwamba hayo madini ni mengi mno, na nisipoangalia nitakufa na cancer ambayo inaweza kuanza muda wowote. suluhisho linaweza kupatikana nikisafisha damu, na uwezo huo sina, au kama naweza kurudisha ngozi yangu ya zamani kwa sababu sasa hivi ngozi yangu haina kinga tena. Sisikitikii weupe, kwa maana nikitu ambacho nilikitamani, kwa hiyo mzigo lazima niubebe, ombi langu ni ushauri wa kuweza kutoa hizi kemikali mwilini mwangu.kama ni kufa basi tena. cha ajabu ni kwamba mchumba wangu ametishia kuniacha kwani siwezi kuzaa tena. yaani sasa hivi analala nje full, naumia lakini sina jinsi
naombeni ushauri wenu, niko njia panda
mdau, texas usa
P.s:mimi nawakilisha tu sio mie cheusi niliyetumia mkorogo.:nono:
jumatatu njema.
love you all