Eeh lazima yaangalie umri.Sasa binti wa miaka 24 niolewe na babu wa miaka 36!KIsa?Pesa?samahani kaka hata ngozi inakuwa imepoteza mvuto.Angalau miaka 5 mwisho mpenzi kunipita!
Tafuteni wazee wenzenu.Hizi ndizo thread zako! Lol age is nothing but a number! Sisi wazee twende wapi?
Hizi ndizo thread zako! Lol age is nothing but a number! Sisi wazee twende wapi?
Life starts at 40yrs hapo nna uhakika wa mshiko, so najichukulia totoz 18- 21 yrs kula maisha,
mademu kuanzia 24+yrs washachakachuliwa balaa
Wana JF ebu nisaidieni hili, ni kweli mapenzi yanaagalia umri?kwa kiwango gani?