Perry JF-Expert Member Feb 24, 2011 10,044 1,999 Nov 15, 2011 #1 Unakuta watu wakati mko wapenzi,mnapeana maneno mataamu,cku mkibreak mnatukanana matusi ya nguon?hii nimeishuhudia jana corner flan hvi.
Unakuta watu wakati mko wapenzi,mnapeana maneno mataamu,cku mkibreak mnatukanana matusi ya nguon?hii nimeishuhudia jana corner flan hvi.
M Maswalala Senior Member Mar 30, 2011 149 12 Nov 15, 2011 #2 Sas si uieleze ili tuijue then tupate idea ya kuchangia. In short umeniacha kwenye mabano