Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 117
Heshima zenu JF!
Kwa wale waliopitia usafiri wa mijini...au wanaendelea nao.
Nimekua naona hizi adha za Dala dala,vi-ford,express... Ukipenda ziite vyovyote ujuavyo...ni haya mabasi yetu ya usafiri mijini au vijijini.
Abiria wanachukulia nje ya vituo kwa kubembelezwa.
Kushushwa unaambiwa kituoni halijafika!
Wakt mwingine konda anakuuliza hapo mbele umemuona askari wa barabarani?...utajibu : sijamuona.
Utachukuliwa.
Hapa ni tatizo... je kushushwa iwe ni popote?
Kama ni msaada wa kubebwa...iweje isiwe msaada pia wakt wa kushushwa?
Kuna umuhim sheria iangalie unafuu kwa abiria? Au hali hiyo iendelee ?
Kama umeona kero nyingine tuwekee....
Nawasilisha!
Kwa wale waliopitia usafiri wa mijini...au wanaendelea nao.
Nimekua naona hizi adha za Dala dala,vi-ford,express... Ukipenda ziite vyovyote ujuavyo...ni haya mabasi yetu ya usafiri mijini au vijijini.
Abiria wanachukulia nje ya vituo kwa kubembelezwa.
Kushushwa unaambiwa kituoni halijafika!
Wakt mwingine konda anakuuliza hapo mbele umemuona askari wa barabarani?...utajibu : sijamuona.
Utachukuliwa.
Hapa ni tatizo... je kushushwa iwe ni popote?
Kama ni msaada wa kubebwa...iweje isiwe msaada pia wakt wa kushushwa?
Kuna umuhim sheria iangalie unafuu kwa abiria? Au hali hiyo iendelee ?
Kama umeona kero nyingine tuwekee....
Nawasilisha!