piper
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 3,253
- 612
Naomba tujadili sakata hili kati ya Yanga na Vodacom bila kuingiza unazi wowote, je ni halali kwa Yanga kukataa kuvaa jezi yenye logo ya mdhamini (Vodacom) ambayo ina rangi nyeupe na nyekundu kwa kisingizio kuwa ni rangi ya jezi inayovaliwa na watani zao Simba? na je nini mustakabali wa soka letu? maana utakuta timu kama Manchester United jezi zake ni nyekundu ila muda mwingine huvaa jezi za bluu zivaliwazo na timu kama Chelsea, Everton na nyinginezo,karibu tujadili bila unazi
N.B- ningetupia hii kwenye jukwaa la sports but naona nililete kisheria zaidi
N.B- ningetupia hii kwenye jukwaa la sports but naona nililete kisheria zaidi