ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Kwa kuogopa kugombezwa na pengine kupewa kichapo na waume zao kwa kutumia vidonge vya uzazi wa mpango, wanawake wa kijiji kimoja mkoani Arusha wamekuwa wakiwadanganya waume zao kuwa hivyo ni vidonge vya kuongeza damu.
Kutokana na uongo huo, waume zao wamejkuta nao wakitumia hivyo vidonge wakiamini damu zao zitaongezeka. Huu ni ukweli wala sio utani na niliusikia jana kwenye redio na kuona kwa tv usiku wa jana. Bado binafsi sijajua madhara ya kiafya kutokana na wanaume hao na kwa vizazi vyao vya baadae kutokana na kutumia vidonge hivi.
Ama kweli dunia bado inakua.
Kutokana na uongo huo, waume zao wamejkuta nao wakitumia hivyo vidonge wakiamini damu zao zitaongezeka. Huu ni ukweli wala sio utani na niliusikia jana kwenye redio na kuona kwa tv usiku wa jana. Bado binafsi sijajua madhara ya kiafya kutokana na wanaume hao na kwa vizazi vyao vya baadae kutokana na kutumia vidonge hivi.
Ama kweli dunia bado inakua.