Tamko la shirika la umeme nchini kuongeza gharama za umeme kwa asilimia 18 lililopigiliwa msumari na Rais wetu wakati wa hotuba yake ya kuuga mwaka ni pigo kubwa kwa wananchi na hasa wale wa chini( last consumer). ikiwa miongoni mwa malengo ya serikali ni kuhakikisha kuwa wananchi wengi wanafikiwa na huduma ya umeme at the same time wanapandisha gharama za umeme sijui ni planns zipi wanazotumia kufikia hayo malengo yao.
Vipi na ongezeko la bei za bidhaa kutokana na kupanda kwa gharama za umeme? je viwanda vitakubali kupata hasara au mzigo atabebeshwa mtumiaji bidhaa wa mwisho?
Je maisha bora kwa kila mtanzania yatafikiwa ikiwa kuna hatari ya inflation rate kuongezeka? Naomba mnisaidie ufanunuzi labda ni hofu yangu ya wapi tunakoelekea.
Vipi na ongezeko la bei za bidhaa kutokana na kupanda kwa gharama za umeme? je viwanda vitakubali kupata hasara au mzigo atabebeshwa mtumiaji bidhaa wa mwisho?
Je maisha bora kwa kila mtanzania yatafikiwa ikiwa kuna hatari ya inflation rate kuongezeka? Naomba mnisaidie ufanunuzi labda ni hofu yangu ya wapi tunakoelekea.