Elly Andrew
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 404
- 164
Wakristo hasa wapentekoste tumeshalewa muzik wa injili,m2 akijiita ameokoka tu na anaimba anaitwa kuhubiri,hivi toka lini injili Ya Mizaha kama ya Masanja ikawa mziki wa injili?ile ni Bongo fleva ktk maneno ya Injili.