Mgombezi
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 610
- 178
Watanzania wengi tu vipofu, mpaka tufunguke macho sumu itakuwa tayari inafanya kazi vizuri mwilini. Zinduka we mtanzania.
Ni wewe tu, kumbe umejigundua eehee! Mimi na watanzania wenzangu siyo vipofu. Sijui hata umewezaje kusoma hii thread.