Ruge Opinion
JF-Expert Member
- Mar 22, 2006
- 1,838
- 701
Even publicity stunts have goals. They are not simply publicity for publicity's sake.Hiyo ni "publicity stunt" na haina mshiko kwa sasa.
Even publicity stunts have goals. They are not simply publicity for publicity's sake.Hiyo ni "publicity stunt" na haina mshiko kwa sasa.
PAW upo lakini?
he has set new precedent...wenye macho madogo hawawezi kuona nini kitafuatia baada ya hili jambo kutokea.
PAW upo lakini?
Nashukuru mkuu wangu kwa ushauri wako wa ujenziwanakutafutia BAN, achana nao.
Hili si la kuiga, kubeza wala kuunga mkono. Kwanza, kalifanya yeye tu. Pili, tunataka wafanye makubwa zaidi ya hili. Tatu, halina tija zaidi ya umaarufu wake mwenyewe kupanda. Nne, Mh Lema anahitaji elimu ya ku-manage makundi ya wafuasi wake. Sio wote wanaomfuata namna ile wana NIA NJEMA kwake.
wanakutafutia BAN, achana nao.
twende mbele turudi nyuma, huwezi ukapendekeza lema for presidency kama kweli unaitakia mema tanzania
Scratch your brain. Scratching your head will not produce answers. But by your own admission it seems you can neither think nor see. Have you never witnessed the crowds that gather whenever Lema appears in court?Mkuu usiruhusu emotions zioverwrite facts.
Im still scratching my head over this,..... there's gotta be a "movement" and I'm trying to figure out whats the "movement" about?
I mean... what is he fighting for? and where is the crowd of supporters?
twende mbele turudi nyuma, huwezi ukapendekeza lema for presidency kama kweli unaitakia mema tanzania
Mbona anafaa kamzidi mpaka Nelson Mandela, ushujaa, wewe ujaona?twende mbele turudi nyuma, huwezi ukapendekeza lema for presidency kama kweli unaitakia mema tanzania
kwani mkuu kuna sehemu Lema kapendekezwa awe presidaa? nimeisoma hoja yote ya mwanakijiji sijaona hiyo sehemu, na kama kuna mtu kapendekeza hivyo basi huyo ni mwenda wazimu.
Kwa hiyo unakubali kuwa kuna wafuasi wa Lema wako magerezani. Hiyo ni moja ya 'cause' za Lema. Kuhakikisha kuwa vijana wake, kama unavyowaita, hawaonewi kwa kubambikizwa kesi za uongo na kurundikwa magerezani. I like your denial mode though.Hakuna kitisho wala nini, kapewa masharti ya dhamana kama wanavyopewa wengine na yeye kakataa kasema mimi nakwenda jela, hiyo cause iko wapi? msitake kuwajaza watu yasiyokuwepo.
Kuna Wabunge waliokwenda jela kwa kukosa dhamana, na hii kapenda yeye mwenyewe kwenda kuwatembelea vijana wake huko.
Kuna kisa Dar Es Salaam huwa kina hadithiwa sana, sijui kama umewahi kukisikia, kuna mtu ambae kila inapomjia hamu ya kuwaona vijana wake waliopo jela huwa anafanya kila njia apelekwe jela, hupigana, hutukana na anapopelekwa mahakamani nae hukataa dhamana, ingawa ana uwezo wa kupatiwa dhamana. Hiki cha Lema hakina tofauti na hicho na msitake kuki "dramatize".
Hakuna zaidi, kataka mwenyewe kwenda huko na akae, atapoona kuwa bado hajakamilisha malengo yake akatae tena dhamana aendelee kukaa huko mpaka malengo yake yatapotimia.
Hapo kwenye bold hayo maneno sio yanagu ni maneno ya Pro-CDM JF huyu huyu ndio alisema Lema zaidi ya Mandela...kwani mkuu kuna sehemu Lema kapendekezwa awe presidaa? nimeisoma hoja yote ya mwanakijiji sijaona hiyo sehemu, na kama kuna mtu kapendekeza hivyo basi huyo ni mwenda wazimu.
Ndio wapo wizi wa magari na majambazi sugu, ndege wafanana nao ndio wanaruka pamojaKwa hiyo unakubali kuwa kuna wafuasi wa Lema wako magerezani. Hiyo ni moja ya 'cause' za Lema. Kuhakikisha kuwa vijana wake, kama unavyowaita, hawaonewi kwa kubambikizwa kesi za uongo na kurundikwa magerezani. I like your denial mode though.
Wewe nani kakupa mandate ya kuwasemea wana-Arusha?Binafsi sina tatizo na uamuzi wa Lema hata kidogo ninachopinga ni kuwaingiza wananchi kwenye mateso yasiyowahusu.Kitendo cha wanazi wa CDM kulazimisha mgomo wa daladala ninakilaani kwa nguvu zote.