EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Sio kwa wapenzi tuu bali kwa watu wote in general. Kama unaongea na mtu kwenye simu nafikiri ni vizuri ukamaliza nae kwanza badala ya ku-hold hold kila wakati ili uongee na mtu mwingine. Kama unaongea na watoto wadogo sawa inaweza eleweka lakini na watu wazima ni bora useme tuu utampigia au akupigie baada ya muda fulani. It is all about manners. Mara nyingi watu hawa ndio unawakuta wanaongea kwenye simu huku waki-drive.