Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
this is an ageing problem-kila siku haya matukio yanajirudia lakina serikali inayakalia kimya-sijui kwa nini-baadhi wa majeruhi wa kipigo cha askari wa jeshi la ulinzi la wananchi (jwtz), gongo la mboto jijini dar es salaan wakionesha kwa waandishi wa habari sehemu za majeraha waliyoyapata kutokana na kipigo hicho. (picha na fadhili akida)
Kweli wazee wetu waliona mbali ndo mana wakasema, "Uishangaa ya LIBYA utayaona ya-TZ"Baadhi wa majeruhi wa kipigo cha askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi (JWTZ), Gongo la Mboto jijini Dar es Salaan wakionesha kwa waandishi wa habari sehemu za majeraha waliyoyapata kutokana na kipigo hicho. (Picha na Fadhili Akida)
Baadhi wa majeruhi wa kipigo cha askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi (JWTZ), Gongo la Mboto jijini Dar es Salaan wakionesha kwa waandishi wa habari sehemu za majeraha waliyoyapata kutokana na kipigo hicho. (Picha na Fadhili Akida)
Hawa si ndiyo walewale mtu akisakiziwa mwizi tu, watamfukuza wampige mawe, tofali, ngumi bila huruma hadi wamuue, lakini wakija wanajeshi wawili wasio na silaha wanakubali kubondwa bila sababu hadi ngeu na manundu yanawatanda. Halafu kesho yake haoo utawaona kwenye vyombo vya habari wakilalamika. Pambaaf kabisa!
wanalala bure, wanavaa bure, wanakunywa beer kwa buku, wanakula bure wanakunya bure, hawanakazi yoyote wanaofanya, tz ilitakiwa iwe na askari 2500 tu wanatosha sana