Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,146
- 79,299
acha upofu wewe rada imeongelewa sana ila tunarudi kwenye swala lilelile Kikwete hataki Mkapa ashitakiwe na kama Jamiiforums ilianzishwa baada ya utawala wa Mkapa utatakaje waongelee suala lake wakati internet haikuwepo wakati huo? na mbona Lowassa alisemwa na anasemwa sana hata sasa na hata alikuwa chanzo cha Jambo forums kufungwa? Humu ndani hamna udini ni makosa na rushwa zako kama mtawala!NIME QUOTE TOKA KWA HOUSEBOY:
Hivi mbona katika jamii forum watu wengi mnawasakama sana Kikwete na Mwinyi tu,katika kila kitu,mbona hoja mnazoleta hazina hata miguu,kuna ushaidi wa hili?au mambo mnayomsingizia huyu jamaa?.mbona mjomba wenu alipokua anajipa mali za umma mlikua hampigi kelele au mbona hakuna hata hoja moja ya kudai jamaa arudishe hela na viwanda alivyojiuzia au fafa la Rada alilonunua mbali na bunge la uingeleza kupinga.kelele zinakuwepo kila raisi anapokua muislamu tu,au mbona viinzi vya mwanakijiji na data nyweti za ndani ya gov zinakua hazipatikani wakati wa Mkapa?.hakuna kitu kibaya sana kama kutoa data za uongo au za kizushi,kuna watu humu ndani wao wanaona kila kitu ni udini tu.Tanzania tatizo lake si kikwete au Mwinyi,Tatizo la bongo ni umasikini wa kutupwa ambao umeletwa na na kuendelezwa na viongozi wabovu bila kujali dini zao,mfano wakati wa Mwalimu (My God bless him) watanzania walikua wanakufa na njaa,tulikua tunapanga foleni masaa 8 au siku nzima kungojea kilo moja ya unga,au mchele,watu tulilazimiswa kuamia katika vijiji vya ujamaa matokeo watu wengi walikufa,ulikua ukisema tu kitu kumpinga mwalimu ndani na watu wengi walipotea kwa kuchukuliwa kiaina,tasisi na mashilika ya umma yalijaa ukabila mtupu,akaja mzee ruska akafanya alichofanya kama raisi na kumpa kijiti mkapa na kufanya alichoweza na sasa ni zamu ya kikwete .kwa mtazamo wangu bila unazi wala nini jamaa wote hawa ni wabovu .ni muhimu kuwa na data za kikweli na si ushabiki .