Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,498
we bado unalisoma? Na we si mzima
Hujakosea mkuu mie huwa nayona kuwa ni magazeti ya wafu na huandika habari za wafu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we bado unalisoma? Na we si mzima
Office zake zipo wapi? tufanye maandamano mpaka katika office zake na ikiwezekana tuzichome moto
uhuru ni gazeti ambalo sijawahi liona kuanzia mwaka 1999. huwezi amini. sijui huwa wanasoma watanzania gani
Hivi inakuwaje wanaandika kitu ambacho hakipo na hata nashangaa wanapata wapi hizi habari za uongo ati Chadema vurugu tupu Mwanza ati Wenje kibaraka,Mashumbushi agoma na diwani atimkia CCm duuh hii kali hivi hawa jamaa walisomea wapi hii kazi ya uandishi
mmelisahau na gazeti la HOJA last week nililinunua kwa makosa nilichokikuta humo ndani!! nililichana na kulitia moto kabla cjamaliza kulisoma