Hili bunge ni aibu tupu

Sikufurahia hicho kitendo cha kinafiki wajipange sana kuangalia mara kwa mara itifaki tofauti na hapo watakuwa wanaumbuka. FIFO
 
Neno "BUNGE" likishambuliwa na herufi "A" na herufi "A" akaibomoa herufi "U" nayo ikatamalaki badala yake, tutakuwa na neno jipya nalo ni "BANGE"

Wafuatao ni majemedari katika kulishambulia neno "bunge" hadi kubadilika kuwa bange. Makinda, ndugai, kilango, sendeka, pinda, LOWAHASA, . . . . . . . . . . . . . .

Ongezea washiriki hata kama unayo sababu iweke.
 
Naamini Job Ndugai ni mdau hapa JF au ana mtu wake wa karibu anasoma michango hapa na kumpa notes! Mara nyingi anaonekana kufanya maamuzi huko bungeni baada ya mijadala hapa. Ni jambo zuri.

Hata hivyo bunge sasa linatakiwa kipitie tena kanuni zake na kuamua ni wakati gani msiba unagusa bunge au la? Ni pia bunge litoa mwongozo kuhusu ushiriki wa serikali kwenye misiba. Inakuwaje waziri na naibu wake wapige kambi kwenye msiba mmoja huku wizara haina mtu? Ni vigezo gani vinatumiwa na serikali kutoa rambirambi kupitia kodi ya wananchi?

Lakini la muhimu, bunge lijadili kuhusu eneo la kuzika watu mashuhuri. Lazima kuwepo na eneo maalum kwa watu ambao ni wa kitaifa.
 
Mlitaka Kanumba akumbukwe kabla hajafa. Mlitaka wasimame dakika moja kumuombea akiwa yuko hai. Hao wastaafu nani awalilie wamekula nchi hadi wameimaliza wewe unalala njaa uwalilie huo ni uzumbukuku. Basi kawaombe wabunge wakulilie wewe wainame dk 1 kukuombea u rest i peace.
 
Isije ikawa ugonjwa wa kila mtu maarufu akifa, hatuna muda huo bungeni. Nadhani ingekuwa wazi kuwa kusimama kwa dk 1 bungeni ni kwa viongozi wa kitaifa tu na sio vinginevyo.
 
ccm wanatapatapa wameisha kwama wanatafuta jnsi yakujkwamua,2015 wasanii wote watakuwa wapga debe wa ccm
 
Hata mabishano JF pia yanaonyesha kuna wenzetu hawataki maendeleo ya taifa hili zaidi ya kupiga usanii kila mahali: unaposimama kukumbuka marehemu/hayati unapewa dakika ya kutafakari alichokifanya huyo aliyeondoka kwahiyo umuhimu wa kumkumbuka msanii ni mkubwa ktk kusanyiko la wasanii lakini umuhimu wa watu kama Sokoine (leo), na hata Kyaro na Mahundi ni wa taifa hili mahali popote kukumbuka waliyoyafanya ktk kupeleka taifa la Tanzania mbele. Makinda angesubiri kule kwenye kamati husika na party za usiku ili kutimiza hilo. Kumtetea ni kuonyesha ushabiki usiokuwa na maana lakini pia kwa naibu spika kufanya lililo sahihi leo inabidi tumpongeze hata kama kamuumbua boss wake spika. mungu ibariki Tanzania
 
Kuna maandamano makubwa tulishayaratibu zamani kwa ajili ya kutetea maaskari polisi na JWTZ. Ingawa awali halikuwapo, hili nalo sasa litaingizwa kwenye mabango: haiwezekani IGP wa Polisi na Jenerali wa JWTZ waonekane hawana mchango kwa taifa. Tunahitaji uungwaji mkono kutoka majeshi yote nchini, kwani ajenda za awali zilikuwa ni maslahi ya askari wetu
 
Alafu kumbe bi kidude ni yanga ndo mana anachemsha,ndugai moyoni cdm na pia simba.ila sio siri mama anachemsha
 
Hata mabishano JF pia yanaonyesha kuna wenzetu hawataki maendeleo ya taifa hili zaidi ya kupiga usanii kila mahali: unaposimama kukumbuka marehemu/hayati unapewa dakika ya kutafakari alichokifanya huyo aliyeondoka kwahiyo umuhimu wa kumkumbuka msanii ni mkubwa ktk kusanyiko la wasanii lakini umuhimu wa watu kama Sokoine (leo), na hata Kyaro na Mahundi ni wa taifa hili mahali popote kukumbuka waliyoyafanya ktk kupeleka taifa la Tanzania mbele. Makinda angesubiri kule kwenye kamati husika na party za usiku ili kutimiza hilo. Kumtetea ni kuonyesha ushabiki usiokuwa na maana lakini pia kwa naibu spika kufanya lililo sahihi leo inabidi tumpongeze hata kama kamuumbua boss wake spika. Mungu ibariki Tanzania
 
hilo halina ubishi serikali ilijaa urasm na dhika za kila aina lazima iwe na vijimambo vya aina hii
 
Makinda amekopa mikopo kila benk pale anawaza namna kupandisha posho alipe madeni!!huyu mama janga la taifa.ccm bhana
 
Hao wastaafu nani awalilie wamekula nchi hadi wameimaliza wewe unalala njaa uwalilie huo ni uzumbukuku.

Ubhumana,
Hoja unayo na narudia hoja yako ni ya msingi lakini kwa mtu kama Mwita Kyaro utakuwa unamuonea tu. Huyu ni kama ni Nyerere. Amestaafu akaenda kuishi Kijijini kwake. Hana nyumba masaki wala hana vitega uchumi vya ajabu ajabu. Kwa Kyaro anastahili.

Lakini kikubwa zaidi, tunasubiri Kikwete akatoe Millioni Kumi kwa Kyaro na Mahundi.
 
Ukiwa na laana unakuwa na uhayawani na wanyonge wanalia na maisha magumu lakini wao maisha raha kwani wafanyakazi wa serikali Dom hawapo?lakini wao wa kuja na kutoka maisha yamepanda
"SUBIRI KUONA MENGI YA UHAYAWANI/UGONJWA WA AKILI ZAIDI KWANI MUNGU KASEMA DHULUMA KWA ANAYEDHULUMIWA DUA KWENDA KWAKE HAINA PAZIA ILI KUMLIPA ANAYEDHULUMU"
 
Back
Top Bottom