donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,031
- 21,499
Jamni kuna hili sebene siku hizi hawaimbi ila ni vyombo tu Kwa kweli linanikosha sana ila sijajua linaitwaje yani hua nalisikia tu. Kwa wataalam wa masebene watakua wameshaelewa nazungumzia nini, naomba mnifahamishe linaitwaje nipate kulidownload.