Eti wana akili kibao angalia sasa....mmeona eeehhhh mie nilidhani macho yangu iko haioni fisuri
Kazi nzuri ya Malaria Sugu na crew yake
HIvi MODS KWANI MTU KULA BAN MPAKA APOST UPUPU MARA NGAPI??PLS NAOMBA UWAPE BAN WALE WOOTE WANAOENDEKEZA UDINI.
JF SI MAHALA PA KUONGELEA DINI TU MCHANA KUTWA USIKU KUCHWA.PLS PLS MOD NAOMBA WALE BAN BILA KUCHAGUA MKRISTO WALA MWISLAM. BAN BAN BAN
Nasikia bango lilipokelewa na Shekh Mkuu bado najiuliza uelewa wake na wafuasi anaowaongoza.
Hapa kuna tatizo: Kwanini ifikiriwe kwamba kwa vile bango limeshikwa na waandamanaji Waislamu basi kiingereza chao kinahusiana na Uislamu wao na siyo elimu wanayoipata kwenye shule za CCM? Mnafikiri yakifanyika maandamano ya watu wengine na wakaambiwa waandike kwa Kiingereza basi wataandika kiingereza kizuri? Ninachokiona mimi ni ushahidi tu wa tatizo letu sote tuliosomea shule zetu hizi za msingi na hata sekondari.
Kiingereza cha hilo bango hakihusiani hata chembe na Uislamu wa watu kama vile tukiona bango la kiingereza kiswahili kibaya tuanze kudai inahusiana na ukristu au kabila. Vinahusiana na elimu yetu inayotolewa katika shule zetu. Think about it. Ila kama mmoja alivyosema, mbona inaeleweka?
Wasitutishe na kura zao kwani maisha yao ni mazuri kupita ya wengine agrrrrrrrrrrrr tumechoka kutishiwa nyau kama vipi wakae nazo tuone kama watafaidi.Na ujinga pamoja na umbumbumbu wao mnaousema na kuudharau. Hawa jamaa watapiga kura 2015 na pasipokuwaheshim na kuheshim maoni yao, ni vigumu kuwashawishi kwamba malengo yenu ya kuikomboa nchi hii yanawahusu wao pia. Vinginevyo, endelezeni matusi na hata wale waliomo ndani ya CDM uvumilivu utawashinda. Kwao imani yao inatangulia kabla ya siasa. Km walifanya makosa kuwaunga mkono kwenye majimbo hayo machache and this is the price they are paying, tusubiri tuone.
Mimi niliposoma 'MOVEMENT AGAINST ATTACK OF UNITED STATE' nikadhani Marekani wameshambuliwa.Mkuu Soma vizuri bango linasema against MUSLIMS in Libya na sio WALIBYA, hapo straight to the point linaonyesha ni UDINI mtupu, hivi Libya si kuna wakristu lakini?
Ni Lugha ya matangazo hiyo wacha ipite tu. Ungekuwa unafuatilia vyombo vyetu vya Habari usingeona ajabu hayo. Labda una lako sawa lete tu tupo.
kuna baadhi ya viongozi wakishindwa hoja hukimbilia suala la "udini!" Refer JK and his co. United Arab Emirates wamepeleka ndege kadhaa Libya, lakini Gadaffi & co. hasemi chochote dhidi yao!
Arab League wametoa go ahead kuhusu "No Fly Zone" lakini Gadaffi & Co hawawalalamikii! I hate madrassa!
Ama kweli waislam wa tanzania ni jamii iliyonyuma sana ktk elimu!jitihada za makusudi zahitajika kuinusuru jamii hii!misamaha ya kodi kwa madhehebu ya dini haiwanufaishi chochote kwani huenda hakuna taasisi ya kiislam iliyojenga shule wala hospitali kwa msamaha wa kodi!TAFAKARI
punguza post za udini, kuna mambo mengi ya msingi ya kuongelea kwa maendeleo ya taifa letu zaidi ya kukalia udini udini udini! aghhhhrrrrrr
Waislamu au hao walioandika hilo Bango? Unaposema Waislamu na ukageneralize unakusudia na hata walimu wako waliokusomesha (Iwapo uliwahi kusoma shule nyengine zaidi ya seminari) au hujapata bahati ya kufika vyuo vya Watanzania zaidi ya vya Wakristo?Haa haa haa, waisilamu bwana! Kwa nini wasingeandika kiswahili tu?
Ninyi ndio mnaotaka kututoa kwenye mada za msingi za Taifa hili...............Udini,Gaddafi,Mufti agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr..................
Mbona sikuelewi? Kwani chaguo hilo la Mungu lilikuwa la Mungu wa Waislamu? Si Mapadre waliosema hilo?alianza JK (chaguo la Mungu?) kudai kuwa eti kuna udini Tanzania baada ya kuporomoka kwa nguvu zaidi, ari zaidi na kasi zaidi wakati wa uchaguzi mkuu 2010, sisi wengine tunajibu tu hoja, right?
Nafsi yako haikusuti? Shule za kata mnazipiga vita.Tukiwaambia waende shule wanakasirika angalia wanavyolitia taifa aibu jamani, hivi walikosa mtu wa kuwashauri kweli?
nawachukia sana wanaochukia dini za wenzao,huku ni kufulia kimawazo!