Tukikumbuka mauaji ya Raisi wa Rwanda,ilisemekana aliuliwa na watusi, ila ukweli ni kwamba wahutu ndiyo walimuu Raisi kwa kutungua ndege na huyo Raisi alikuwa Muhutu.
Wahutu walifanya makusudi ili wapate sababu ya kuwaua watusi kwa kuwasingizia wamemuua Raisi ambaye Mhutu mwenzio.
Na kweli baada ya hapo walifanya mauaji ya chinja chinja Rwanda.
Tuangalie sababu ya Kiongozi wa uamsho kusingizia kutekwa,ilikuwa ni kusababisha vurugu alijua/au walipanga wafuasi wake wafanye wanayofanya.
Hata udini Tanzania,kuna dini zina jazba,visasi,wanatumia njia zilizotumika Rwanda kusababisha vurugu.
As Great Thinker tuangalie haya mambo kwa jicho la tatu kama tunaweza kuchezeana na kuleta vurugu kiasi hiki.
Wahutu walifanya makusudi ili wapate sababu ya kuwaua watusi kwa kuwasingizia wamemuua Raisi ambaye Mhutu mwenzio.
Na kweli baada ya hapo walifanya mauaji ya chinja chinja Rwanda.
Tuangalie sababu ya Kiongozi wa uamsho kusingizia kutekwa,ilikuwa ni kusababisha vurugu alijua/au walipanga wafuasi wake wafanye wanayofanya.
Hata udini Tanzania,kuna dini zina jazba,visasi,wanatumia njia zilizotumika Rwanda kusababisha vurugu.
As Great Thinker tuangalie haya mambo kwa jicho la tatu kama tunaweza kuchezeana na kuleta vurugu kiasi hiki.