Hila za kidini zinathibitishwa na kiongozi wa uamsho

akide

Member
Jun 5, 2012
11
1
Tukikumbuka mauaji ya Raisi wa Rwanda,ilisemekana aliuliwa na watusi, ila ukweli ni kwamba wahutu ndiyo walimuu Raisi kwa kutungua ndege na huyo Raisi alikuwa Muhutu.
Wahutu walifanya makusudi ili wapate sababu ya kuwaua watusi kwa kuwasingizia wamemuua Raisi ambaye Mhutu mwenzio.
Na kweli baada ya hapo walifanya mauaji ya chinja chinja Rwanda.
Tuangalie sababu ya Kiongozi wa uamsho kusingizia kutekwa,ilikuwa ni kusababisha vurugu alijua/au walipanga wafuasi wake wafanye wanayofanya.
Hata udini Tanzania,kuna dini zina jazba,visasi,wanatumia njia zilizotumika Rwanda kusababisha vurugu.
As Great Thinker tuangalie haya mambo kwa jicho la tatu kama tunaweza kuchezeana na kuleta vurugu kiasi hiki.
 
Kuna makuwadi wa shetani miongoni mwetu!
Kuna vampires wanaotaka kunywa damu za watanzania.
Wanatumia kigezo cha dini kuwasha moto huo...Ni wakati ambao kila mwenye akili na azitumie sasa.
Nimefurahishwa sana na viongozi wa dini inayohusishwa na vurugu kuweka wazi hili jambo kuwa si la kidini, bali ni la watu wenye maslahi nalo.
 
Tukikumbuka mauaji ya Raisi wa Rwanda,ilisemekana aliuliwa na watusi, ila ukweli ni kwamba wahutu ndiyo walimuu Raisi kwa kutungua ndege na huyo Raisi alikuwa Muhutu.
Wahutu walifanya makusudi ili wapate sababu ya kuwaua watusi kwa kuwasingizia wamemuua Raisi ambaye Mhutu mwenzio.
Na kweli baada ya hapo walifanya mauaji ya chinja chinja Rwanda.
Tuangalie sababu ya Kiongozi wa uamsho kusingizia kutekwa,ilikuwa ni kusababisha vurugu alijua/au walipanga wafuasi wake wafanye wanayofanya.
Hata udini Tanzania,kuna dini zina jazba,visasi,wanatumia njia zilizotumika Rwanda kusababisha vurugu.
As Great Thinker tuangalie haya mambo kwa jicho la tatu kama tunaweza kuchezeana na kuleta vurugu kiasi hiki.

WEWE SIO TU GREAT THINKER BALI NI MTU UNAYEONA KWA MACHO 5 HATA cnn ; bbc; al jazeera hawaoni kitu

Lakini bahati mbaya GREAT THINKER hujazitaja hizo dini zenye jaziba na visasi Tanzania
 
Kuna makuwadi wa shetani miongoni mwetu!
Kuna vampires wanaotaka kunywa damu za watanzania.
Wanatumia kigezo cha dini kuwasha moto huo...Ni wakati ambao kila mwenye akili na azitumie sasa.
Nimefurahishwa sana na viongozi wa dini inayohusishwa na vurugu kuweka wazi hili jambo kuwa si la kidini, bali ni la watu wenye maslahi nalo.

Tukikumbuka yale maneno ya yule bwana aliyeshindwa uchaguzi 2010 na kusema kuwa hii nchi haitokalika inapata picha kamili ni nini lengo lake
 
Tatizo rafiki zangu Waislamu hata wasomi wao, wanalalamika kwamba wanaonewa bila kutoa mifano ya nini kifanyike hili waone kuwa wanapewa fulsa sawa. WANATAKA NINI KIFANYIKE HILI WAWE SAWA NA WAKRISTO?
 
Tukikumbuka mauaji ya Raisi wa Rwanda,ilisemekana aliuliwa na watusi, ila ukweli ni kwamba wahutu ndiyo walimuu Raisi kwa kutungua ndege na huyo Raisi alikuwa Muhutu.
Wahutu walifanya makusudi ili wapate sababu ya kuwaua watusi kwa kuwasingizia wamemuua Raisi ambaye Mhutu mwenzio.
Na kweli baada ya hapo walifanya mauaji ya chinja chinja Rwanda.
Tuangalie sababu ya Kiongozi wa uamsho kusingizia kutekwa,ilikuwa ni kusababisha vurugu alijua/au walipanga wafuasi wake wafanye wanayofanya.
Hata udini Tanzania,kuna dini zina jazba,visasi,wanatumia njia zilizotumika Rwanda kusababisha vurugu.
As Great Thinker tuangalie haya mambo kwa jicho la tatu kama tunaweza kuchezeana na kuleta vurugu kiasi hiki.

Your argument is correct but you have cited wrong example, the fact about the killing of the late Habyarimana was tutsi who killed him not hutu
 
tatizo rafiki zangu waislamu hata wasomi wao, wanalalamika kwamba wanaonewa bila kutoa mifano ya nini kifanyike hili waone kuwa wanapewa fulsa sawa. Wanataka nini kifanyike hili wawe sawa na wakristo?
suala la udini kwa kiasi lilikuwepo ila viongozi wetu wamelishughulikia mpaka lilipokaribia kuisha,sasa waislam tumeamua tulishughulikie wenyewe kwa njia zisizokuwa sahihi.mfano nyerere alipoingia madarakani alikuta shule ni za kimissionary na waislam hawasomi(udini) katika jitihada za kutatua tatizo akataifisha shule zote binafsi,lakini kwa kuwa tayari wakristo wengi walikuwa washasoma bado wakawa wana advantage zaidi na wakawa wanazitumia ki maslahi, lakini jitihada hizo zimeendelea mpaka kufikia leo,hali ni kama imekuwa sawa na ndio maana hata ukiangalia leo hii kuna viongozi wengi tu waislam.kwa hiyo hakuna mtu anayekataa kwamba hali hiyo haikuepo,sema suala ni hatua zinazochukuliwa sasa na waislam ndio sio sahiihi.hata ile kadhia ya mbagala;hakuna mtu anaepinga kwamba alichokifanya yule mtoto ni kosa;laa! Watu wanachopinga ni hatua iliyochukuliwa na wale watu wanaodai ni waislam ya kuharibu mali za wakristo.na sas hivi wakati watu wengine wakichukua hatua za kumaliza kabisa udini;akina ponda wao ndio wanataka sasa kuupalilia.yaani ni sawa na ugundue siku za nyuma jirani yako alikudhulumu,lakini katika kipindi kilichopo kaacha au msuluhishi yuko kwenye harakati za kuhakikisha anaacha,mwishoni mwishoni unasema sasa na mimi ngoja nianze dhuluma na sitasikiliza la mtu maana hata mimi nilishadhulumiwa?hivi na wewe utakuwa ni muadilifu kweli?chakufanya sasa ni serikali iache uhuru wa dini,iwe ya kisecular kwelikweli,kisha kila mtu,dini,au dhehebu isimamie mambo yake bila kuingiliwa na mtu mwengine,pawe na hali ya kuheshimiana na nia njema.
 
Natamani Waislam watoe Majina ya wote waliokosa Uongozi chuo ajira kwa sifa ya kuwa Muislam hap Tz
 
Tukikumbuka mauaji ya Raisi wa Rwanda,ilisemekana aliuliwa na watusi, ila ukweli ni kwamba wahutu ndiyo walimuu Raisi kwa kutungua ndege na huyo Raisi alikuwa Muhutu.
Wahutu walifanya makusudi ili wapate sababu ya kuwaua watusi kwa kuwasingizia wamemuua Raisi ambaye Mhutu mwenzio.
Na kweli baada ya hapo walifanya mauaji ya chinja chinja Rwanda.
Tuangalie sababu ya Kiongozi wa uamsho kusingizia kutekwa,ilikuwa ni kusababisha vurugu alijua/au walipanga wafuasi wake wafanye wanayofanya.
Hata udini Tanzania,kuna dini zina jazba,visasi,wanatumia njia zilizotumika Rwanda kusababisha vurugu.
As Great Thinker tuangalie haya mambo kwa jicho la tatu kama tunaweza kuchezeana na kuleta vurugu kiasi hiki.

Are you sure what you are telling us, au ni kuchochea mambo!!
 
gazeti la ANNUR no 87,march 1997 lilikuwa na kichwa:TANZANIA KUWA JAMHURI YA KIISLAM.yote yanayotokea sasa yalipangwa.tafuteni msome.
 
gazeti la ANNUR no 87,march 1997 lilikuwa na kichwa:TANZANIA KUWA JAMHURI YA KIISLAM.yote yanayotokea sasa yalipangwa.tafuteni msome.

wewe huwezi kutuwekea hiyo article yote humu ??? au link yoyote tukasoma wenyewe ?? pengine wewe umesoma out of context
 
Tukikumbuka mauaji ya Raisi wa Rwanda,ilisemekana aliuliwa na watusi, ila ukweli ni kwamba wahutu ndiyo walimuu Raisi kwa kutungua ndege na huyo Raisi alikuwa Muhutu.
Wahutu walifanya makusudi ili wapate sababu ya kuwaua watusi kwa kuwasingizia wamemuua Raisi ambaye Mhutu mwenzio.
Na kweli baada ya hapo walifanya mauaji ya chinja chinja Rwanda.
Tuangalie sababu ya Kiongozi wa uamsho kusingizia kutekwa,ilikuwa ni kusababisha vurugu alijua/au walipanga wafuasi wake wafanye wanayofanya.
Hata udini Tanzania,kuna dini zina jazba,visasi,wanatumia njia zilizotumika Rwanda kusababisha vurugu.
As Great Thinker tuangalie haya mambo kwa jicho la tatu kama tunaweza kuchezeana na kuleta vurugu kiasi hiki.

Sijui mnakosaga ya kuongea!!!...yan tangu asubuhi umekaaa umefikiria la kuandika humu ndo ukaangukia hapa!
Sio lazima utupie post humu unaweza kukaa kimya tu ukaheshimiwa kuliko kuropoka na kudharaulika!msipokaa bila kuongelea la waislam sikuiz hamjiskii raha.....foolish!
 
WEWE SIO TU GREAT THINKER BALI NI MTU UNAYEONA KWA MACHO 5 HATA cnn ; bbc; al jazeera hawaoni kitu

Lakini bahati mbaya GREAT THINKER hujazitaja hizo dini zenye jaziba na visasi Tanzania

Kwan we mgen hapa Duniani?
 
Back
Top Bottom